Mpira umeisha Ngasa amekosa goli la wazi.
Pasi nzuri sana kutoka kwa Salum Abubakar.......Sure boy
Ngoja tuone Yebo Yebo naye atatokaje.
Wenye timu yenu hongereni, lakini red card imetucost sisi Vita Club.
Azam wanakosa goli la 3
Full Time
AS vita Club 1-2 Azam
Hongereni sana wana lamba lamba Azam FC.....Hongera kwa ndetichia & co kwa kufika fainali.....
Kazi kwa Yanga sasa...
au Akudo Impact.Unaondoka nao?then when?kwa nini usibaki ili ujiiunge na fm academia?
Umeanza baada ya ule wa azam na ni dakika ya 6 hivi sasa.mkuu mpira wa yanga sa ngapi
Duh......What a miss by APR
Bonge la shuti,linagonga mwamba....
Mpira umeisha Ngasa amekosa goli la wazi.