CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Mkuu Crashwise mbona unaleta maneno ya uchonganishi? Hivi hilo li Rage si li bunge la Tabora ni la chama kipi? Lile li Sarungi lilezi la Simba ni la chama kipi, li Sumaye je silisemei hili, acha niishie hapa huu upande. Mhe. Mbowe ni shabiki wa Yanga ni wa chama kipi?

Acha Simba ipendwe kama Simba na Yanga ipendwe kama Yanga wanachama wa CCM na upinzani wapo kote kote.

Simba inatumia pesa za Rage zinazotokana na malipo ya mshahara na marupurupu ya ubunge alioupata kupitia CCM, sasa wewe unatuambia nini?
Wako huko kwa bahati mbaya lakini kimsingi Yanga ni CCM, hata wakipata goli utawasikia CCM CCM CCM.....unaonaje soka la wekundu wa msimbazi
 
Mkuu Crashwise mbona unaleta maneno ya uchonganishi? Hivi hilo li Rage si li bunge la Tabora ni la chama kipi? Lile li Sarungi lilezi la Simba ni la chama kipi, li Sumaye je silisemei hili, acha niishie hapa huu upande. Mhe. Mbowe ni shabiki wa Yanga ni wa chama kipi?

Acha Simba ipendwe kama Simba na Yanga ipendwe kama Yanga wanachama wa CCM na upinzani wapo kote kote.

Simba inatumia pesa za Rage zinazotokana na malipo ya mshahara na marupurupu ya ubunge alioupata kupitia CCM, sasa wewe unatuambia nini?

Kaka, siku hizi watanzania siasa za CHADEMA NA CCM zimewaharibu vichwa. Kila kitu tunagombana, yani akili zinaruka hata kama hakuna ukweli mradi tu mtu anatetea chama chake. I love CDM and YANGA as well..lakini si kweli eti SIMBA ni ya CDM. RUBBISH
 
Yanga=CCM...hivyo hata kuropoka kwenu kunafanana kabisa na mijitu ya pale bungeni....ulisema mechi hii itaenda matuta ukabeza mechi inayofata sasa mechi imeisha ndani ya dakika 90, unasemaje....

mkuu pole sana siasa imekulemaza..hata hivyo kazi unayo boko keshafanya mambo.!
 
....lazima tujute wana Simba, benchi la ufundi lazima litueleze kwa kina kulikoni....marking ya Simba si nzuri kwakweli.
 
Simba kazi wanayo.. Hawatoki leo kwa Azam naona wameshikwa vibaya yaani wamepakatwa.!
 
Simba kazi wanayo.. Hawatoki leo kwa Azam naona wameshikwa vibaya yaani wamepakatwa.!

njoo na uchambuzi wa maana, sote tunajua kwamba Azam anaongoza; ila tunaka kuujulisha umma kwamba mechi kwa ujumla hikoje, neno kupakatwa ni zuri baada ya dk 90.
 
Bado Azam 1-0 Simba dakika 30 huu ndio mwanzo wa urafiki wa Simba na Azam kuvunjika!
 
Simba hawa mie natayarisha bakora timu ikifungwa tutaonana Msimbazi!
 
Kaseja anafanya kazi kubwa sana, mabeki wanampa mtihani; hawatoi ushirikiano mzuri.
 
Nadhani Kiprecheche, Erasto Nyoni, na Boko watamchosha sana Kaseja leo...!

Ushauri wangu kwa Benchi la Ufundi la Simba - Ni makosa kumuanzisha Boban.. na gharama yake itakuwa kubwa...!
 
Back
Top Bottom