pgasper
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 311
- 70
Hapa umekuwa kama Lusinde wa
CHADEMA.
Chadema hatuna mapunguwani kiasi hicho....
Yani kila sehemu siasa?Yanga=CCM...hivyo hata kuropoka kwenu kunafanana kabisa na mijitu ya pale bungeni....ulisema mechi hii itaenda matuta ukabeza mechi inayofata sasa mechi imeisha ndani ya dakika 90, unasemaje....
Ngoja nirudi kwa watu wazima chumbani,
sijui Mchonga atakuwa na siasa huko pia!