CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Mmmmm!!!!.kwa desturi zetu wabongo....simba ikifungwa.....hapa mgogoro unanukia.Heri tushinde.
 
Dah......

Simba hamna kitu jamani.......Jamaa wamewazidi kweli...

Mapengo ya Emmanuel Okwi na Hayati Patrick Mutesa Mafisango yanaonekana dhahiri....
Mkuu Balatanda, pengo ni Emmanuel Okwi lakini la Patrick Mutesa Mafisango kwa maana ya namba sita Musa Mude na Jonas Mkude wanaziba vizuri sana, labda kama ni uwezo wa Mafisango kwamba alikuwa anaweza kucheza namba nyingi lakini mtu wa hivyo tunaye Shomari Kapombe na Kigi Makasi.
 
Mkuu Balatanda, pengo ni Emmanuel Okwi lakini la Patrick Mutesa Mafisango kwa maana ya namba sita Musa Mude na Jonas Mkude wanaziba vizuri sana, labda kama ni uwezo wa Mafisango kwamba alikuwa anaweza kucheza namba nyingi lakini mtu wa hivyo tunaye Shomari Kapombe na Kigi Makasi.
Tatizo lililopo Simba ni kiungo mtani.....Hakuna mtu sahihi wa kushirikiana na Mwinyi Kazimoto pale kati,ni bora kocha angekuwa anamuanzisha hata Boban........Hawa Mbiyavanga na Amri Kiemba hawapo vizuri kiasi cha kufanya kiungo cha Simba kinapwaya........Na hapo ndipo ninaliona pengo la Mafisango........Kigi Makasi ni mzuri ila kwa sasa ana tatizo moja......Kupooza mpira,hana kasi kama ile aliyokuwa nayo enzi zile akiwa Mtibwa Sugar
 
Back
Top Bottom