Mimi huwa nashangaa kila mara watangazaji wa CECAFA mashindano wanatokea kenya kila wakati,kwa nini?
Jamani watangazaji wa kibongo mko wapi...mbona tunakuwa nyuma sana...au wa TZ hatuna ujuzi wa kuongea KIINGEREZA vizuri?Au tuna tatizo gani....mbona kila mwaka wa kenya?
Mara ya mwisho nadhani walikuwa akina Bakari Msulwa (hivi yupo wapi huyu, Japan ??) na huyo msanii chapappombe mbunge wa kondoa ! Vinginevyo sidhani kama kuwa wa maana aliyebaki wote wana-sound kama Mwigulu au Lusinde..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.