CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Abdalah Juma anataka kumuiga Said Bahanuzi,hawezi yale mambo...anakosa goli yeye na nyavu,kazi kuvizia offside refa apitiwe ndo afunge
 
Ha ha ha ha,Mkuu (Masuke) kumbe upo,asante goli la offside na la penalt kwa kumuibua Rafiki yangu Mkuu hapa JF

Mkuu mimi mara ya mwisho kuhuzunika na kujificha ni siku Simba alipigwa goli nne Zambia baada ya hapo nahuzunika kwa kawaida tu lakini sio kujificha, mimi ni miongoni mwa watu wa kwanza kwanza kupost leo kwenye hii thread.
 
Huyu Nyoso anavyowaokoa hivi ndo mlitaka kumuacha?

Hawa viongozi wetu sometimes wanakuwa na akili za kushikiwa, huwezi kumwacha Nyoso unategemea Costa na Mungusa wakamate back line, ni kama viongozi wenu walivyomwacha Amir na Maftah na Banka kipindi kile.
 
Beki ya kushoto ya hawa Vibonde inabidi itafute namna ya kuwadhibiti Kapombe na Mwinyi Kazimoto,tofauti na hapo wanaweza kufikishwa 7 tena
 
huwa wanacheza tatizo lao wasahaulifu mno hata gemu ya kwanza hivi hivi..
 
Sipati picha hiyo faulo aliyochezewa Kaseja Simba ingekuwa imeshafikisha magoli inayoyahitaji ingemchukua dk 10 kuinuka pale chini
 
Ni Okwi peke yake anayeweza kufanya vitu wanavyojaribu kufanya Sunzu na Abdalah Juma
 
Yule na yeye ndo nini,alitaka kugeuka Stephano Mwasyika?
 
Hivi unaongea na nani ? STF up ...!!

Punguza Munkari Kaka ushindi wa magoli ma'3 (1 la offside,1 la penalt,1 la kawaida) mbona ni ushindi tu,kwani mlitakaje mfunge 7 kama Yanga,Vita na APR...au ulitaka washambuliaji wenu wafunge goli linaloweza kuingia katika list ya magoli makali ya hii Kagame?
 
Punguza Munkari Kaka ushindi wa magoli ma'3 (1 la offside,1 la penalt,1 la kawaida) mbona ni ushindi tu,kwani mlitakaje mfunge 7 kama Yanga,Vita na APR...au ulitaka washambuliaji wenu wafunge goli linaloweza kuingia katika list ya magoli makali ya hii Kagame?

Nchemba kazini.......
 
Mpaka sasa naona ni ushabiki na uzalendo tu, labda kwenye QF ndo nitaweza kuzifia timu zetu, kwa sasa hamna kitu.
 
Back
Top Bottom