CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Jamani tuweni wakweli kidogo, hivi Nizar ana miaka 24??????!!!!! Wamarekani walistuka
 
Bila shaka Yanga itakutana na Simba, sijui zitakuwa goli ngapi!!
 
hii timu nayo nichovu itamaliza mechi zake nza zaidi ya goli 20
 
Yanga wakikutana na timu nzuri, ni weupe sana. Naona hapa wanaruhusu bao
 
mpira umsesha ua bado? namatokeo ningapi?
 
Mhh wameruhusu bao tena. Inaweza kuwa-cost mbele ya safari...

Nizar alipokuwa Vancouver White caps 3 yrs ago alikuwa 24, sasa hadi leo bado ni 24...!! bongo bana... hata nsajigwa nae anajiita late 20s wakati Okwi alituonyesha jamaa kiumri ni Giggs flan... :A S cry:
 
Back
Top Bottom