ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Full Time
Wau Salaam 1-7 Yanga
hata mie nishajua matokeo ya ligi kwani hapo gemu inayofuata yanga na simba hata wakifugwa lazima wapite kazi kwetu azam..
BTW Hongereni...
Full Time
Wau Salaam 1-7 Yanga
kundi lao watatoa timu 3,kundi la mnyama simba pia timu 3.kundi la wanalambalamba ni timu 2apr na atletico wajanja sana wametoa dro ili wapite kiurahisi kazi kwenu sasa wana yanga.. au kundi lenu mnaenda timu tatu..
Bila shaka Yanga itakutana na Simba, sijui zitakuwa goli ngapi!!
Ndio tumeanza, Simba atakula goli 7.
Ndio tumeanza, Simba atakula goli 7.
kundi la simba na yanga wote wanatoa timu tatu kila moja. hivyo hata hata APR na Atretico wakipanga matokeo yanga wataqualify tu kaka... naamini simba na yanga watasonga mbele kama kawaida.
unajua siyo kila lazima utoe criticism maana ushindi wa 7-1 siyo mdogo. ila kwa kuwa APR ilishinda 7 kwa 0 dhidi ya team hii ndiyo maana unaweza sema hayo! but mimi nasema kuombea ushindi wa goal 12 au zaidi ingeshusha hata radha ya mashindano yenyewe na kutoa taswira kuwa mashindano hayana viwango. sasa basi nafasi zilizopatikana ni 13 but katika hizo washambuliaji wa Yanga wakatumia nafasi 7. unataka nini kwenye mechi mimi nadhani Yanga wanastahili pongezi tu mengine ni changamoto tu kwenye back line.
Thus siyo lazima kila wakati kuangalia makosa tu tuangalie hata improvement pia.
Kwa mtu kama Haruna Niyonzima na Kelvin Yondani kutolewa 2nd half ni clear indication kuwa waliobaki walikosa umakini wa kutosha. na sasa chuji akarudishwa number 5 iliua kidogo kasi ya Yanga iliyoonekana 1st half.
But pia Hamis Kiiza amekosa nafasi nyingi clear ambazo si tu zingeimbeba Yanga but pia zingembebe yeye personally kuwa mfungaji bora!
But Hongereni Yanga kwa ushindi.
Naam! nawapongeza sana wana-Yanga wakiongozwa na Mh. Balatanda kwa ushindi uliopatikana leo(Yanga 7-1 Wau salaam);
Japo Yanga imeshinda lkn si vizuri kuacha kuongelea mapungufu machache yaliyojitokeza ktk hii mechi; mfano:- 2half wachezaji wa Yanga wamecheza chini ya kiwango jambo ambalo limepelekea kumaliza dk45 za kipindi cha pili wakiwa nguvu sawa kwa kila timu kupata goli 1-1. kwa jinsi Yanga walivyokuwa wameanza mechi na kupata goli 6 ndani ya dk45 imekua ni vigumu kuhamini kuwa mechi imeisha kwa goli 7-1 badala ya goli ama 12 au zaidi kwa bila.
Kwa hakika bado wachezaji wetu wanamatatizo ya kukosa umakini na kujua ni nini kifanyike na wakati gani ndani ya uwanjq.
mechi ya awali URA vs VITA vipi??? updates p'se!!
Duh jana updates za YY zilikuwa zinarindima kwa kasi, leo vp wakuu >????