CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

mkuu tuwasamehe.. hawa jamaa ni wachanga kwa kila kitu bado hawajatengamaa

Angalau basi wabadili vigezo vya ushiriki namna hii mashindano yanakosa msisimko. Kila mwaka timu za namna hii zipo sijui wachezaji wanaokotwa mitaani
 
Akina Musonye wasanii tu na ndiyo maana mpira wa East and central africa haukui !! Actually hawa huwezi kuwafananisha na Mafunzo kabisa. Hawa hata ile timu ya wasagaji ya Mkwasa inaweza kuwapiga 10 !!
 
Ili kuleta haki ya mchezo wa soka inabidi iwe kama ngumi za kwamba wenye uzito unaofanana ndo wapigane, CECAFA wangetenda haki endapo Wau Salaam na Port pamoja na mafunzo wangekuwa kundi moja, Azam angechukua nafasi ya Wau Salaam na Tusker angechukua nafasi ya Port.

Wau salaam na port wangeondolewa kabisa na wasiruhusiwe kushiriki kabisa.
 
Timu za taifa, either za wakubwa au hata U-20 !!

mantiki itakuwa wapi mkuu, haya ni mashindano ya VILABU na si TIMU za TAIFA.
TIMU za TAIFA mashindano yao ni yale ya CECAFA SENIOR CHALLENGE CUP
 
Yaani mpenzi wa Simba ameukwaa uenyekiti wa Yanga !!?
 
Ndiyo exceptions zenyewe hizo, kama walikuwa wanaalika timu za mataifa yaliyo nje ya CECAFA ili kuongeza ushindani na kukuza kiwango, they can do the same maana hii inashusha kiwango kama hizi ndiyo timu mabingwa wa nchi !!

mantiki itakuwa wapi mkuu, haya ni mashindano ya VILABU na si TIMU za TAIFA.
TIMU za TAIFA mashindano yao ni yale ya CECAFA SENIOR CHALLENGE CUP
 
Ndiyo exceptions zenyewe hizo, kama walikuwa wanaalika timu za mataifa yaliyo nje ya CECAFA ili kuongeza ushindani na kukuza kiwango, they can do the same maana hii inashusha kiwango kama hizi ndiyo timu mabingwa wa nchi !!
Mkuu sote tunafahamu timu dhaifu ni zile ambazo nchini mwao kuna rabsha za kisiasa, hasa hasa ni zile timu kutoka Somalia, Eritrea, Djibout na hatimaye mwaka huu toka Sudan Kusini.
Pamoja na hayo bado kuna timu alikwa ambayo ni VITA CLUB toka DRC.
Nadhani ukanda wetu una maendeleo dhaifu ya mpira wa miguu, ni kutokana na kutosa misingi ya soka la yosso.
 
Mkuu kama unafuatilia, eritrea sio dhaifu !! Anyway, mimi naunga mkono hili wazo la mjumbe mmoja kuwa kuwepo kwa timu kama hizi ni janga, na pia linaweza kuleta usumbufu kama wajanja wakiamua kujenga finta, say mechi yao ya mwisho kunakuwa na team zinagombania goal difference advantage. Wanapiga 5 au 6 then wanajiangusha mpaka wanabaki 7 na game inavunjwa !!

Mkuu sote tunafahamu timu dhaifu ni zile ambazo nchini mwao kuna rabsha za kisiasa, hasa hasa ni zile timu kutoka Somalia, Eritrea, Djibout na hatimaye mwaka huu toka Sudan Kusini.
Pamoja na hayo bado kuna timu alikwa ambayo ni VITA CLUB toka DRC.
Nadhani ukanda wetu una maendeleo dhaifu ya mpira wa miguu, ni kutokana na kutosa misingi ya soka la yosso.
 
Mkuu hakuna rule ambayo inasema hii haiwezekani, ni uamuzi wa conferedation husika. Hujawahi kusikia timu ya taifa, au ya u-20 au hata 17 imeshiriki mashindano yanayohusisha clubs ?

mkuu umewai kuona vilabu vinashiriki mashindano ya pamoja na timu za taifa.?
 
Mkuu hakuna rule ambayo inasema hii haiwezekani, ni uamuzi wa conferedation husika. Hujawahi kusikia timu ya taifa, au ya u-20 au hata 17 imeshiriki mashindano yanayohusisha clubs ?

mkuu mara nyingi ni mechi za kirafiki.!!
 
Back
Top Bottom