CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Mkuu Balantanda.
Wambie Crashwise na Ivunga wapevuke wakiona baba kafa kwa mdudu hivi kweli walitegemea mamá au mke(simba) apone kifo kweli?

Yaani ka we wafikiri kuwa Yanga baba basi hujui chochote!
Simba 5 Yanga 0 umesahauee
 
Hii ya leo Yanga watashinda lakini wakumbuke mchezo wao na APR ndio utaamua hatima yao.
 
Hizi timu nyingine zisingekuwa zinaruhusiwa kushiriki, hata timu yetu ya mtaani haiwezi kufungwa na yanga bao zote hizo.
 
Hizi timu nyingine zisingekuwa zinaruhusiwa kushiriki, hata timu yetu ya mtaani haiwezi kufungwa na yanga bao zote hizo.

mkuu tuwasamehe.. hawa jamaa ni wachanga kwa kila kitu bado hawajatengamaa
 
Dah .... sijui kama kuna timu duniani ndani ya dakika 35 ilifungwa goli 6 ...*inawezekana zipo *
 
Ili kuleta haki ya mchezo wa soka inabidi iwe kama ngumi za kwamba wenye uzito unaofanana ndo wapigane, CECAFA wangetenda haki endapo Wau Salaam na Port pamoja na mafunzo wangekuwa kundi moja, Azam angechukua nafasi ya Wau Salaam na Tusker angechukua nafasi ya Port.
 
Back
Top Bottom