CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Pole mtani....Nyosso anawagharimu...

Ssentongo anawakosakosa tena...

Mtani nakushukuru;.........Nyosso anapenda sana kucheza kwa jaziba inampelekea kusahau majukumu yake; Ssentongo ni mjanja sana anatakiwa akutane na beki aliyetulia.
 
Mtani
nakushukuru;.........Nyosso anapenda sana kucheza kwa jaziba inampelekea
kusahau majukumu yake; Ssentongo ni mjanja sana anatakiwa akutane na
beki aliyetulia.

Mrwanda naye haraka za nini?....

Anakosa goli la wazi eti...
 
haya haya naona
kumekuchwaaaaaaaaa????????? Mnyama kesha dungwaa?? Kweli mwenzako
akinyolewa zako tia maji.

Muda bado mkuu...

Simba wana nafasi kubwa ya kusawazisha na kuongeza magoli...Cha msingi Sunzu, MBiyavanga na Mrwanda watulie tu.....Pia Nyosso na Mungusa kule nyuma watulie maana mpaka sasa hawaelewani
 
kuna ukweli fulani Mtani; kipa wa URA ametulia sana golini;
Tatizo la Simba lipo kwa beki...Namba 4 na 5 hawaelewani...

Leo siwaoni Masuke na Crashwise...Ama wanasubiri mpaka Simba wafunge ndo waanze kupost?,wasalimu ukiwaona...

Dakika ya 30

Simba 0 - 1 URA

Mtaalamu Owen Kasule kaumia...
 
Tatizo la Simba lipo kwa beki...Namba 4 na 5 hawaelewani...

Leo siwaoni Masuke na Crashwise...Ama wanasubiri mpaka Simba wafunge ndo waanze kupost?,wasalimu ukiwaona...

Dakika ya 30

Simba 0 - 1 URA

Mtaalamu Owen Kasule kaumia...

Crashwise na Masuke nahisi laptop na simu zao zimewakorofisha kidogo ila nina imani very soon tutakua nao.

Mrwanda, tunamtegemea sana akitoka uwanjani bila goli au kuisaidia timu kuibuka na ushindi atakuwa hana maana.
 
Tatizo la Simba lipo kwa beki...Namba 4 na 5 hawaelewani...

Leo siwaoni Masuke na Crashwise...Ama wanasubiri mpaka Simba wafunge ndo waanze kupost?,wasalimu ukiwaona...

Dakika ya 30

Simba 0 - 1 URA

Mtaalamu Owen Kasule kaumia...

Bado mapema...
 
Back
Top Bottom