CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Azam inaonekana hawakutarajia kufungwa goli kwenye first half ndo maana wanaonekana kuchanganyikiwa, inabidi wawe makini wakifanya masihara wataongezwa na kuwafanya Yanga kuwa mabingwa kwa mara ya tano.
 
Azam naona hawakutarajia kufungwa goli kipindi cha kwanza
 
Nalebhona gashi e jf yokolile bhasukuma doho konguno twaiyombisha shamkaya doho!
 
Kwenye haya mashindano Yanga ndo inaongoza kwa kupata magoli rahisi, na sitashangaa wakachukua ubingwa pamoja na kwamba kiuwezo Azam wako vizuri lakini inaonekana bahati isiwe upande wao leo.

Soccer is Technique na Sio kuwa Wazuri; Angalia Mwaka Huu Europe Jinsi Chelsea walivyoichezea defensive and counter

attach Barcelona... Hawakufua Dafu... Hivyo ndio Soccer inatakiwa - ndio Maana Timu ya Taifa ya Spain wakaamua

Kubadilisha style na kutokuwa na attacking strickers only Middle-Fields from # 6 to 11 just to confuse the opponents...
 
Back
Top Bottom