Lakini Ngasa mbona kashangiliwa sana na vijana wa jangwani?
nahene bhageshi wane toyombage shiswahili lolo ango?
Naona bocco anatoa tu ulimi hoi, ha ha ha.
lugha hiyo unaweza kutamkaje goli?
Mnatuchanganya na hizi lugha zenu, mnataka kuwanyima nini watanzania????Ndibona aming'wana basaya iki tubaleke lulu.
nilitegemea boko awalize ndani ya dk20 tu ya kipindi cha kwanza.offside Ynaga
Mnatuchanganya na hizi lugha zenu, mnataka kuwanyima nini watanzania????
Tunatamka "igoli"
Hivi huyu Mustapha ataacha huu ujinga wa kupoteza muda lini...ni mambo ya kizamani...