Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,746
Msaada wa CCTV mimi naona ni bure yani linapotokea tatizo uwezi kuona picha vizuri.
hamna kitu basi tu ushahidi ilimradimsaada wa cctv mi naona ni bure yani linapotokea tatizo uwezi kuona picha vizuri.
View attachment 2942632
Kama shida yako ni kuona vizuri,wa kulaumiwa ni mnunuaji. Camera zinatofautiana yaani hapo ukipata IP camera kuanzia 8 mega pixel unaona vizuri kabisa. Hapo mtu hajui kuhusu CCTV au budget yake ndogo hayo ndo matokeo yake.Msaada wa CCTV mimi naona ni bure yani linapotokea tatizo uwezi kuona picha vizuri.
View attachment 2942632
Pia na elimu kuhusu CCTV (closed circuit television)Kuna cctv zipo clear sana, tatizo ni budget zetu zinakua ndogo...
Wakati mwingine ni namna ulivyo seti picture quality kwa sababu ya kulinda mb inatakiwa camera zenye AI ili ziweze kujikomandi zenyewe wakati gani zichukue picha za quality ya hali ya juuMsaada wa CCTV mimi naona ni bure yani linapotokea tatizo uwezi kuona picha vizuri.
View attachment 2942632