Faida ya mahakama ni zipi: Hazilindi demokrasia wala haki

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,753
Mahakama za Tanzania hazilindi demokrasia wala haki vizuri sasa ni wakati wa kujiuliza zina faida gani hasa. Imekuwa kama vile mahakama zetu ni wasomi wasiojielewa kazi yao ni nini hasa zaidi ya kuelekezwa na serikali.

Kesi zinachukuwa miaka , kura zinaibiwa nje nje mahakama wamekaa tu eti wanasubiri kesi. Hata matamshi ya kuchukizwa hawana. Inefika wakati kesi zinaenda kwa muuaji makonda!

Sasa tufanyeje kuondokana na hili janga
 
Mahakama za Tanzania hazilindi demokrasia wala haki vizuri sasa ni wakati wa kujiuliza zina faida gani hasa. Imekuwa kama vile mahakama zetu ni wasomi wasiojielewa kazi yao ni nini hasa zaidi ya kuelekezwa na serikali.

Kesi zinachukuwa miaka , kura zinaibiwa nje nje mahakama wamekaa tu eti wanasubiri kesi. Hata matamshi ya kuchukizwa hawana. Inefika wakati kesi zinaenda kwa muuaji makonda!

Sasa tufanyeje kuondokana na hili janga
Kabla ya kuingia katika muktadha wa changamoto zinazokabili mahakama zetu, nadhani ni muhimu kuelewa jukumu kuu la mahakama ni kulinda haki na demokrasia. Lakini sidhani hata kama changamoto izo zipo basi inamaana kwamba mahakama zimejaa wasomi wasiojielewa kama unavyodai mdau. I think zipo sababu za msingi zaidi, Nitafafanua;

Changamoto kama vile kucheleweshwa kwa kesi zinaweza kutokana na sababu kadhaa kama ucheleweshaji unaosababishwa na taratibu za kisheria, ukosefu wa teknolojia, pamoja na mzigo mkubwa wa kesi zinazofunguliwa mahakamani. Kwa hivyo, ni jukumu la serikali kuwekeza katika mfumo wa mahakama ili kuboresha ufanisi na kupunguza muda wa kusikiliza na kutoa maamuzi. Hivyo nafikiri hapa mahakama isilaumiwe.

Hata linapokuja suala la wizi wa kura nafikiri hili ni suala linalohitaji ushaidi, hivyo hata hapa nadhani hatutakiwi kuilaumu mahakama kwakuto toa matamshi ya kuchukizwa, ninafikiri ni muhimu kuwa na ushahidi wakutosha na kwenda kufungua shauri mahakamani ili kuwezesha mahakama kufanya maamuzi sahihi na kuepuka upendeleo.

Hapa naomba niende njee kidogo ya mada kwafaida ya wengi wasiofahamu. Ipo hivi,​
Tanzania inatumia mfumo wa sheria wa kawaida, ambao unajulikana kama "common law legal system." Katika mfumo huu, mahakama zinaendeshwa kwa kutumia mfumo wa Kupigania (Adversarial System). Kulingana na mfumo huu, wahusika katika kesi wanawajibika kupeleka ushahidi wa hoja zao mbele ya mahakama. Majaji huwajibika kusikiliza pande hizo na kufanya maamuzi kwa kuzingatia ushahidi na hoja zilizowasilishwa.​
Hivyo basi, jukumu la kuthibitisha hoja na kudhibiti ushahidi unaobainishwa huwa linawaangukia wahusika ili kushinda kesi zao na mahakama inabaki na jukumu la uamuzi tu.

Lakini hata hivyo, bado kama nnchi kuna umuhimu mkubwa wa kuhakikisha uelewa wa maswala ya kisheria (Legal awareness) unaongezeka, ili kuwapa wananchi uelewa wa maswala ya msingi ya kisheria (legal basic understanding), hii itasaidia kuongeza imani ya watu katika mhimiri wa Mahakama. Pia, itawasaidia raia kujua haki na wajibu wao pamoja na namna ya kuzishughulikia.​
 
Kabla ya kuingia katika muktadha wa changamoto zinazokabili mahakama zetu, nadhani ni muhimu kuelewa jukumu kuu la mahakama ni kulinda haki na demokrasia. Lakini sidhani hata kama changamoto izo zipo basi inamaana kwamba mahakama zimejaa wasomi wasiojielewa kama unavyodai mdau. I think zipo sababu za msingi zaidi, Nitafafanua;

Changamoto kama vile kucheleweshwa kwa kesi zinaweza kutokana na sababu kadhaa kama ucheleweshaji unaosababishwa na taratibu za kisheria, ukosefu wa teknolojia, pamoja na mzigo mkubwa wa kesi zinazofunguliwa mahakamani. Kwa hivyo, ni jukumu la serikali kuwekeza katika mfumo wa mahakama ili kuboresha ufanisi na kupunguza muda wa kusikiliza na kutoa maamuzi. Hivyo nafikiri hapa mahakama isilaumiwe.

Hata linapokuja suala la wizi wa kura nafikiri hili ni suala linalohitaji ushaidi, hivyo hata hapa nadhani hatutakiwi kuilaumu mahakama kwakuto toa matamshi ya kuchukizwa, ninafikiri ni muhimu kuwa na ushahidi wakutosha na kwenda kufungua shauri mahakamani ili kuwezesha mahakama kufanya maamuzi sahihi na kuepuka upendeleo.

Hapa naomba niende njee kidogo ya mada kwafaida ya wengi wasiofahamu. Ipo hivi,​
Tanzania inatumia mfumo wa sheria wa kawaida, ambao unajulikana kama "common law legal system." Katika mfumo huu, mahakama zinaendeshwa kwa kutumia mfumo wa Kupigania (Adversarial System). Kulingana na mfumo huu, wahusika katika kesi wanawajibika kupeleka ushahidi wa hoja zao mbele ya mahakama. Majaji huwajibika kusikiliza pande hizo na kufanya maamuzi kwa kuzingatia ushahidi na hoja zilizowasilishwa.​

Hivyo basi, jukumu la kuthibitisha hoja na kudhibiti ushahidi unaobainishwa huwa linawaangukia wahusika ili kushinda kesi zao na mahakama inabaki na jukumu la uamuzi tu.


Lakini hata hivyo, bado kama nnchi kuna umuhimu mkubwa wa kuhakikisha uelewa wa maswala ya kisheria (Legal awareness) unaongezeka, ili kuwapa wananchi uelewa wa maswala ya msingi ya kisheria (legal basic understanding), hii itasaidia kuongeza imani ya watu katika mhimiri wa Mahakama. Pia, itawasaidia raia kujua haki na wajibu wao pamoja na namna ya kuzishughulikia.​


Yaani unajijibu kwa visingizio hizo sherian na taratibu kama sio nzuri bado ni tatizo lile lile kwamba hazina faida. Kama kesi ndogo tu zinachukuwa miaka , mahakama zinahogwa, wanapindisha sheria kujipendekeza kwa serikali hazina faida.
 
Mahakama za Tanzania hazilindi demokrasia wala haki vizuri sasa ni wakati wa kujiuliza zina faida gani hasa. Imekuwa kama vile mahakama zetu ni wasomi wasiojielewa kazi yao ni nini hasa zaidi ya kuelekezwa na serikali.

Kesi zinachukuwa miaka , kura zinaibiwa nje nje mahakama wamekaa tu eti wanasubiri kesi. Hata matamshi ya kuchukizwa hawana. Inefika wakati kesi zinaenda kwa muuaji makonda!

Sasa tufanyeje kuondokana na hili janga


Yaani wakili kasimamishwa kimakosa miaka 3 nani anamlipa?? Mahakama ni bure sana haki ya kazi inachukuwa miaka 3 kwa kesi ambayo iko wazi halafu watu wanasema kuna haki!

 
Mahakama za Tanzania hazilindi demokrasia wala haki vizuri sasa ni wakati wa kujiuliza zina faida gani hasa. Imekuwa kama vile mahakama zetu ni wasomi wasiojielewa kazi yao ni nini hasa zaidi ya kuelekezwa na serikali.

Kesi zinachukuwa miaka , kura zinaibiwa nje nje mahakama wamekaa tu eti wanasubiri kesi. Hata matamshi ya kuchukizwa hawana. Inefika wakati kesi zinaenda kwa muuaji makonda!

Sasa tufanyeje kuondokana na hili janga
Kwa TANZANIA Mahakama haina FAIDA kwani maagizo mengi inapokea kutoka kwa VIONGOZI wa Serikali MAHAKAMA hazina UHURU kama mahakama za KENYA na sababu ni KATIBA iliyopo
 
Back
Top Bottom