Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Kwan Dkt Mwinyi ukimfuatilia kiundani kabisa ni Mkazi wa ZanzibarKwani pia Maalim Seif Sharrif ukimfuatilia Kiundani kabisa Ndugu hasa Chimbuko lake unadhani ni Mtanzania halisi kama tulivyo Mimi na Wewe?