Bruno Toto
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 477
- 546
Lala tena uendelee kuotaHivi kwanini siri za ccm zinavuja kibwege sana ? Halafu hilo unalolisena halitoweza kutimia kwa vile ccm itashindwa vibaya sana kwenye uchaguzi huu
Lala tena uendelee kuotaHivi kwanini siri za ccm zinavuja kibwege sana ? Halafu hilo unalolisena halitoweza kutimia kwa vile ccm itashindwa vibaya sana kwenye uchaguzi huu
WEWE POPOMA UNAUGUA UGONJWA WA AKILI, GENTAMYCINE HUNA AKILI WEWEAkina Mzukulu tupo pale mlipo na tutaendelea kuwepo hadi Jumapili ijayo huko Dodoma ila nimesikitishwa mno na Mapendekezo yenu ya Kiuwoga kuwa Mmekubaliana na uliokuwa pia Mtazamo wangu kuwa Profesa Makame Mbarawa awe Isles next CCM Flag bearer kwa mwaka 2020 lakini eti kwa Kumpoza Mzee Mwinyi (Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili) mmeamua kuwa Profesa Makame akiapishwa tu basi amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais huko Kisiwani Zanzibar.
Nimesema kuwa mnaenda kutengeneza mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM huko Kisiwani Zanzibar kama kweli mtalazimisha Profesa Mbarawa amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais kwani nina uhakika hata Watoto wa waliokuwa Viongozi huko Zanzibar wa akina Karume na Jumbe nao watahisi Kutengwa kama pia si Kudharauliwa hali ambayo inaweza kutengeneza Uhasama na Mpasuko mkubwa wa Kichama na Kiuongozi ambao utakithiri kabisa Chama cha Mapinduzi huko.
Ushauri wangu Kwenu ni kwamba nimefurahi kuwa Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais ila naomba Dkt. Mwinyi asiwe Makamu wa Pili wa Rais.
Enheee...!Acha ramli chonganishi..!!
Unazijua vizuri siasa za Zanzibar wewe!!??Siasa za Upemba na Uunguja?
Atoke Mpemba aje Mpemba??
Hili halitoweza tokea asilani abadani.
Prof Mbarawa ni kiongozi mzuri sana kiutendaji ila CCM itampitishaje mtu ambaye hajawahi chaguliwa na watu hata kwa nafasi ya ubalozi wa Nyumba kumi ama usheha??
Aiseeeee. Umefurahi makame mbarawa atakuwa rais???Akina Mzukulu tupo pale mlipo na tutaendelea kuwepo hadi Jumapili ijayo huko Dodoma ila nimesikitishwa mno na Mapendekezo yenu ya Kiuwoga kuwa Mmekubaliana na uliokuwa pia Mtazamo wangu kuwa Profesa Makame Mbarawa awe Isles next CCM Flag bearer kwa mwaka 2020 lakini eti kwa Kumpoza Mzee Mwinyi (Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili) mmeamua kuwa Profesa Makame akiapishwa tu basi amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais huko Kisiwani Zanzibar.
Nimesema kuwa mnaenda kutengeneza mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM huko Kisiwani Zanzibar kama kweli mtalazimisha Profesa Mbarawa amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais kwani nina uhakika hata Watoto wa waliokuwa Viongozi huko Zanzibar wa akina Karume na Jumbe nao watahisi Kutengwa kama pia si Kudharauliwa hali ambayo inaweza kutengeneza Uhasama na Mpasuko mkubwa wa Kichama na Kiuongozi ambao utakithiri kabisa Chama cha Mapinduzi huko.
Ushauri wangu Kwenu ni kwamba nimefurahi kuwa Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais ila naomba Dkt. Mwinyi asiwe Makamu wa Pili wa Rais.
Ameshinda Dkt. Hussein Mwinyi na nayaheshimu Maamuzi ya wana CCM wote. Namtakia Kila la Kheri na Mwenyezi Mungu amuongoze vyema pia.
Nampa maalim Seif 60% kabla hata kampeni hazijaanza. Huyu mwinyi anakwenda kuzigawa kura za CCM huko.
Wewe umejuaje kuwa Prof.Makame Mbarawa ndiye Rais ajae?Akina Mzukulu tupo pale mlipo na tutaendelea kuwepo hadi Jumapili ijayo huko Dodoma ila nimesikitishwa mno na Mapendekezo yenu ya Kiuwoga kuwa Mmekubaliana na uliokuwa pia Mtazamo wangu kuwa Profesa Makame Mbarawa awe Isles next CCM Flag bearer kwa mwaka 2020 lakini eti kwa Kumpoza Mzee Mwinyi (Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili) mmeamua kuwa Profesa Makame akiapishwa tu basi amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais huko Kisiwani Zanzibar.
Nimesema kuwa mnaenda kutengeneza mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM huko Kisiwani Zanzibar kama kweli mtalazimisha Profesa Mbarawa amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais kwani nina uhakika hata Watoto wa waliokuwa Viongozi huko Zanzibar wa akina Karume na Jumbe nao watahisi Kutengwa kama pia si Kudharauliwa hali ambayo inaweza kutengeneza Uhasama na Mpasuko mkubwa wa Kichama na Kiuongozi ambao utakithiri kabisa Chama cha Mapinduzi huko.
Ushauri wangu Kwenu ni kwamba nimefurahi kuwa Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais ila naomba Dkt. Mwinyi asiwe Makamu wa Pili wa Rais.
Vipi utaendelea kusema🤣Najua na nilishasema hapa mapema tu kuwa Profesa Makame Mbarawa atakuwa Mrithi wa Rais anayemaliza muda wake huko Kisiwani Zanzibar Dkt. Shein na ninamkubali na nitawasifu mno CCM wakimpitisha kwa Nguvu moja. Ila sitaki na wala sipendelei Mtoto yoyote wa waliowahi kuwa Viongozi wa Zanzibar kuanzia Karume, Jumbe na Mwinyi wawe sehemu ya Uongozi wa Juu huko. Kama Mimi ningekuwa Profesa Mbarawa nikiapishwa tu kuwa Rais basi Makamu wangu wa Pili wa Rais ningemteua Masauni. Zanzibar ya sasa inahitaji Sura mpya kabisa na zisizo na Mizizi wala Makundi ya Kifamilia.
Angalia ulivyo na akili finyu GENTAMYCINEKwanini hili Swali hukuniuliza Siku ile ile tu nilipouanzisha huu Uzi na kwa Unafiki wako baada ya kujua Matokeo ndiyo unajifanya Kuuliza? Dunce!!!
Ana ujuaji mwingi sana huyu bwana mdogoGENTA bana....Hahaha.