CCM yaunda 'ukawa' yake dhidi ya CHADEMA

CCM yaunda 'ukawa' yake dhidi ya CHADEMA

CCM imeshatambua kwamba inapambana na wananchi, siyo Chama.
Nguvu na ujumbe wa vitisho ambavyo wamekuwa wakipewa CHADEMA ni ujumbe kwenda kwa wananchi kwamba hata mtumie mbinu gani hampati kitu. Ujumbe huo pia unawalenga walio ndani ya CCM kwamba mkijifanya ku side na wananchi mjue hampo salsma, sasa hivi hata Jaji Warioba, Kabudi na akina Polepole wameshaikana ile rasimu ya katiba ya wananchi ambayo kwao walishaiona kama ni misahafu.

CHADEMA inapinzwa tu na wananchi wengi waliochoka, sababu CHADEMA kama chama hawana jipya wala tofauti na NCCR, CCM na CUF, kamavwangekuwa na kitu cha tofauti kamwe wasingefanya mabadiliko ya dakika za nyongeza kwenye nafasi ya mgombea wa nafasi ya urais.

Siku zote nitaendelea kumheshimu sana Dr. Slaa kwa mikakati na nguvu aliyoitumia kuijenga CHADEMA na kupelekea wananchi kuamua kukiunga mkono, pili msimamo wake wa kusimamia anachokiamini. Tatu utiifu wake kwa mamlaka zake za uteuzi, tuliona alivyokua mtiifu na mnyenyekivu kwa Mbowe na sasa alivyo kwa Magufuli.
CHADEMA haina cha tofauti, watu ndiyo wameamua kuichagua na nguvu inayotumika ni dhidi ya watu diyo CHADEMA. Kama kuna point itainekana CHADEMA ni threat kiasi hicho basi ingefutwa kitambo tu.
Hujatazama kwa kina kati ya dr slaa na mbowe aliekiinua chama sana ni mbowe skaa alifanya siasa katika kipindi chake kukiwa kumepoa sana kulikuwa na uhuru wa kufanya siasa hakukuwa na kesi nyingi za uchochezi na aliweza kusema chochote kwenye majukwaa lakini sasa mbowe hajafanya siasa yoyote miaka mitano na si yy tu chama hakijafanya kazi zs siasa lakini bado ccm inatumia nguvu kubwa kuandaa ushindi slaa ajaribu kuja kipindi hiki ajaribu
 
CCM bila Polisi...?
Yaani hadi kinyaa. Ccm bahati nzuri wana jua wanaongoza hii nchi sio kwa ridhaa ya wananchi bali kwa ridhaa ya dola.
Hawakuamini kama miaka mitano inge fika kampeni zianze tena.
Mara paaap muda umefika. Sasa ni kutafuta njia za kuzuia Chadema wasifanye sisa. Mara polisi, mara TAKUKURU, mara mahakama, yaani mambo ni mengi. Ila wanatakiwa wajue hata hiyo mingine mitano ita pita na maisha wata kutana nayo huku mtaani..
 
CCM imeshatambua kwamba inapambana na wananchi, siyo Chama.
Nguvu na ujumbe wa vitisho ambavyo wamekuwa wakipewa CHADEMA ni ujumbe kwenda kwa wananchi kwamba hata mtumie mbinu gani hampati kitu. Ujumbe huo pia unawalenga walio ndani ya CCM kwamba mkijifanya ku side na wananchi mjue hampo salsma, sasa hivi hata Jaji Warioba, Kabudi na akina Polepole wameshaikana ile rasimu ya katiba ya wananchi ambayo kwao walishaiona kama ni misahafu.

CHADEMA inapinzwa tu na wananchi wengi waliochoka, sababu CHADEMA kama chama hawana jipya wala tofauti na NCCR, CCM na CUF, kamavwangekuwa na kitu cha tofauti kamwe wasingefanya mabadiliko ya dakika za nyongeza kwenye nafasi ya mgombea wa nafasi ya urais.

Siku zote nitaendelea kumheshimu sana Dr. Slaa kwa mikakati na nguvu aliyoitumia kuijenga CHADEMA na kupelekea wananchi kuamua kukiunga mkono, pili msimamo wake wa kusimamia anachokiamini. Tatu utiifu wake kwa mamlaka zake za uteuzi, tuliona alivyokua mtiifu na mnyenyekivu kwa Mbowe na sasa alivyo kwa Magufuli.
CHADEMA haina cha tofauti, watu ndiyo wameamua kuichagua na nguvu inayotumika ni dhidi ya watu diyo CHADEMA. Kama kuna point itainekana CHADEMA ni threat kiasi hicho basi ingefutwa kitambo tu.
Unajichanganya. Dk. Slaa ndiye aliyemfungulia mlango Chadema fisadi Lowasa. Kwa vyovyote vile, hakuna ubishi kwamba Chadema ndio threat kubwa kwa CCM. kwa vipi ni threat huo ndio unaweza kuwa mjadala!
 
Unajichanganya. Dk. Slaa ndiye aliyemfungulia mlango Chadema fisadi Lowasa. Kwa vyovyote vile, hakuna ubishi kwamba Chadema ndio threat kubwa kwa CCM. kwa vipi ni threat huo ndio unaweza kuwa mjadala!
Siyo kwa nafasi ugombea wa nafasi ya urais kipindi kile.
 
CCM bila Polisi...?
Propaganda za ajabu sana. Kisa cha chadema nini? 2015 kulikuwa na CCM B (wakina lowassa Sumaye Kingunge na wafuasi wao) CHADEMA, CUF, NCCR, nk. Wakatengeneza kitu kinaitwa UKAWA, Ilitisha my frnd. Ikawapa CHADEMA Viti vingi na Mbowe kuwa KUB. Sasa chadema bila lowassa kingunge Sumaye kimtishe li CCM na JPM wake. Sidhani tusubiri kama tutapata 15% za kura Urasi. Na viti zaidi ya vitano vya ubunge
 
Mwaka 2015 CHADEMA na vyama vingine vya CUF, NCCR - Mageuzi na NLD, viliunda umoja uliojulikana kama UKAWA dhidi ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa lengo la kuiondoa madarakani.

Mwaka huu 2020 CCM imeunda muungano wake na vyama vingine vya CUF, NCCR na TLP dhidi ya CHADEMA.

Ina maana CCM pamoja ya kuwa ina dola imeshindwa kupambana na CHADEMA peke yake hadi inaazima majeshi ya kukodi? Halafu bado kuna watu wanasema CHADEMA imekufa.

View attachment 1464247

Picture speeks a thousand words.

ACT-Wazalendo wanabaki kama watazamaji au swing voters?
Sijui Nani huwa awashauri shauri za kijinga Kama hivo check ile ya kununua watu watu wamelamba pesa still upinzani ungali imara.Labda tu Kama aliwashauri ili ajipigie 20% yake.
Njia pekee ya kuuwa upinzani isiyo na gharama ni kupambana na umasikini then ukiisha upinzani utajifia wenyewe.Kama walivofanya chama cha ukombozi cha china.
 
Propaganda za ajabu sana. Kisa cha chadema nini? 2015 kulikuwa na CCM B (wakina lowassa Sumaye Kingunge na wafuasi wao) CHADEMA, CUF, NCCR, nk. Wakatengeneza kitu kinaitwa UKAWA, Ilitisha my frnd. Ikawapa CHADEMA Viti vingi na Mbowe kuwa KUB. Sasa chadema bila lowassa kingunge Sumaye kimtishe li CCM na JPM wake. Sidhani tusubiri kama tutapata 15% za kura Urasi. Na viti zaidi ya vitano vya ubunge
Sasa mbona mnawazuia kufanya siasa Ila nyie mnafanya for 5 yrs still amjiamini.
Hivi kundi lipi kwenye Jamii kusema limenufaika hadi likosee tena kuchagua? Maana yeye alikuja kuumiza na kukomoa watu badala ya kupambana na umasikini wa watu.
 
Hujatazama kwa kina kati ya dr slaa na mbowe aliekiinua chama sana ni mbowe skaa alifanya siasa katika kipindi chake kukiwa kumepoa sana kulikuwa na uhuru wa kufanya siasa hakukuwa na kesi nyingi za uchochezi na aliweza kusema chochote kwenye majukwaa lakini sasa mbowe hajafanya siasa yoyote miaka mitano na si yy tu chama hakijafanya kazi zs siasa lakini bado ccm inatumia nguvu kubwa kuandaa ushindi slaa ajaribu kuja kipindi hiki ajaribu
Hawezi vumilia haya,au ya kujisaidia kwenye ndoo za bati
 

Attachments

  • tanzania-police-brutality.jpg
    tanzania-police-brutality.jpg
    17.6 KB · Views: 4
  • ETGD4eHWoAIgxpL.jpg
    ETGD4eHWoAIgxpL.jpg
    66.2 KB · Views: 4
  • police-Brutality-1.jpg
    police-Brutality-1.jpg
    29 KB · Views: 6
Siasa ni akili sio nguvu.Huwezi ukapambana na adui kwa kumfanya kuwa adui utowini,mfanye rafiki ili ummalize.
Matured wanasiasa awakimbizani na upinzani Bali uzitekeleza sera za upinzani ili kuumaliza upinzani.
Ukandamizaji wa ccm kwa upinzani for 5 yrs umechangia zaidi kuujenga upinzani kuliko kuubomoa.
Upinzani ni dini ni Imani huwezi iondoa kirahisi.Utauwa watu wataibuka wengine,utawazuia kuongea ndani wataongea nje.
 
Slaa alikuwa sahihi lkn alichokosea ni kuungana na watesi wake.
Dr. Slaa anajitambua, yuko Kama Hawa wabunge wanaohama. Dr. Alipima Kati ya Mbowe na CCM nani mtesi wake mkubwa. Akaona CCM Bora kuliko hao mafisadi wa chadema wanaangalia hela tu na siyo malengo ya upinzani.
tapatalk_1590001226647.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom