CCM yaunda 'ukawa' yake dhidi ya CHADEMA

CCM yaunda 'ukawa' yake dhidi ya CHADEMA

Mwandishi kwani unateseka Magufuli kuungwa mkono na vyama vya upinzani?
 
Kitakachofanyika wagombea wa cdm na act plus mawakala wao kufanyiwa figisu rafu zote Kama ilivoshatokea nyuma.Ukawa ya ccm yaani nccr,cuf na tlp wao awatafanyiwa mizengwe lengo ni kuhadaa jumuia za kimataifa kwamba uchafuzi ni wa huru na haki mbona vyama ukawa vimeshinda.
But ccm wanalo wakiinama mshale wakisimama mshale.Hata Kama wakifanikiwa kuuidhibiti cdm na act still watakumbana na wapinzani wa ukawa yao.Wasiofanana hawawezi ungana
 
sema polisi wamekuwa wakitusaidia chaguzi zote. hata mwenyekiti wetu aliyepita (JK) alikiri hili kwa uwazi kabisa.
tangu mwalimu atutoke 1999, bila msaada wa polisi chama chetu ni takataka kabisa!
Zanzibar miaka yote ccm wamekuwa wakichezea za uso ngoja kizazi cha kina Mkapa kiondoke uone Kama watapa ujanja wa kuiba tena.
Serikali inatakiwa iwekwe na watu na sio dola
 
Mkuu CCM ya sasa hata isipopiga kampeni ushindi ni 98% Kwasababu Chadema imechokwa sana na Watanzania kwa tabia zake kutumika na Mabeberu.

Ni wazi hatutakuwa na mpinzani mwenye ushawishi km Lowasa kwa miaka 50 ijayo.
Slaa alikuwa sahihi lkn alichokosea ni kuungana na watesi wake.
Slaa alimpokea Lowasa, lakini moto ukamwakia nyumbani.
Akaswagwa (na Dellilah) kumkibia na kuishia kwao watesi wake.
Sasa hivi yuko nae, wameketi wote kwa furaha mkono wa kushoto wa Jiwe
Angekuwa mkweli kama nanyi na anavyotaka tumwamini, ANGEMKIMBIA tena.
Amen
 
Propaganda za ajabu sana. Kisa cha chadema nini? 2015 kulikuwa na CCM B (wakina lowassa Sumaye Kingunge na wafuasi wao) CHADEMA, CUF, NCCR, nk. Wakatengeneza kitu kinaitwa UKAWA, Ilitisha my frnd. Ikawapa CHADEMA Viti vingi na Mbowe kuwa KUB. Sasa chadema bila lowassa kingunge Sumaye kimtishe li CCM na JPM wake. Sidhani tusubiri kama tutapata 15% za kura Urasi. Na viti zaidi ya vitano vya ubunge
Kwa hiyo mwaiogopea nini tume huru. Mnafanya siasa peke yenu mwaka wa nne huu, bado mnawaogopa mliyowanyima pumzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom