Mwaka 2015 CHADEMA na vyama vingine vya CUF, NCCR - Mageuzi na NLD, viliunda umoja uliojulikana kama UKAWA dhidi ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa lengo la kuiondoa madarakani.
Mwaka huu 2020 CCM imeunda muungano wake na vyama vingine vya CUF, NCCR na TLP dhidi ya CHADEMA.
Ina maana CCM pamoja ya kuwa ina dola imeshindwa kupambana na CHADEMA peke yake hadi inaazima majeshi ya kukodi? Halafu bado kuna watu wanasema CHADEMA imekufa.
Picture speeks a thousand words.
ACT-Wazalendo wanabaki kama watazamaji au swing voters?
Mwaka huu 2020 CCM imeunda muungano wake na vyama vingine vya CUF, NCCR na TLP dhidi ya CHADEMA.
Ina maana CCM pamoja ya kuwa ina dola imeshindwa kupambana na CHADEMA peke yake hadi inaazima majeshi ya kukodi? Halafu bado kuna watu wanasema CHADEMA imekufa.
Picture speeks a thousand words.
ACT-Wazalendo wanabaki kama watazamaji au swing voters?