Mipangomingi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,713
- 2,062
N ukonga ipi unayoiongelea ww,acha kuropoka vtu usivovijua ww,,,,,,ukonga ipo shwari kabsa na sisi ndo wakaz wa ukonga na ndo wapiga kura sasa ww fanya ziara njaa yako uwaongopee vichaa mbuz wenzako,,,mAma bdo anaushawish mkubwa jimbon kwake,kupiga kelele jukwaan sio utendaji kaz huo,hatuchagui mtu anaelezea mapungufu,tunataka mtu anaelezea strategz atakazozitumia kuleta chachu ya maendeleo jimboni.
Unaishi ukonga kata gani ndugu! Ukonga ndilo jimbo la mwisho kabisa kimaendeleo kaw jiji la Dar, ndilo jimbo ambalo barabara zake kwa 90% hazina ubora, si lami si kifusi, tazama wakazi wa kitunda wataabikavyo kurudi majumbani mara mvua zinyeshapo, wakazi wa Moshi bar vilevile wanavyovunjika viuno wakiwa ndani ya magari, ishu maji sizungumzii kabisa maana kwa kijana wa miaka 18 sasa hivi nadhani hajawahi kukutana na maji ya Dawasco jimbo hili tangu azaliwe!
Kifupi Eugene amepoteza jimbo na ndio maana anaona haya hata kukutana na wapiga kura wake!
Ndo maana nakwambia waongea vitu usivovijua ww,njoo kitunda mwanagati kama hutokuta bomba la dawasco,na kwa taarifa yako miongon mwa majimbo bora dsm kwa upatkanaj wa maji safi ukonga lipo,n wapi unaskia kuna shida ya maji ukonga,npo kitunda n barabara ipi isiyokuwa na ubora?leta za Kawe,ubungo kuelekea kibangu,maziwa,leta jimbo ya segerea,,,,,acha kuongea vtu kwa msukumo wa itkadi yako so far wanaukonga ndo wapigao kura sion 7bu yako ww kukata mauno ngoma ya jirani.
Samahani sana bwana Kiboko, nimeshindwa kukuvumilia kwa hiki ulichochangia. Mimi ni Mwanaukonga, niko Kivule Muembeni, na ni mkazi wa Kivule toka mwaka 2001, kwa kifupi katika majimbo mabovu kabisa, mabovu kabisa kwa miundo mbinu ya Barabara na Maji ni Ukonga hususan barabara tatu (Banana Kivule hadi Msongola, Banana Mwanagati na Mombasa Kwa diwani au kwa Mkuremba. Haisaidii kuja kusema uongo humu JF wakati ni kweli, sisi wa Kivule tunashindwa hata kuendesha gari aina ya Saloon, ni lazima uwe na Prado, RAV4 au SUZUKI (Punda), hali ni mbaya sana. Kuhusu maji, uyasemayo si kweli kwamba kuna Dawasa, isipokuwa kwa kuwa nyumba nyingi zimejengwa na waliohamia ambao kidogo wanajiweza, hivyo kila mmoja amechimba kisima, na maji yake ukibahatika ni mazuri hayana chumvi. Acha Propaganda bwana, hii CCM tumeanza nayo tangia TANU, si yako peke yako na wala usilete ushabiki wa Kichama katika hili. We from Kivule are very serious on this matter. We no longer entertain with the so called CCM or the current MP, she is completely impotent. Tafadhali tuombe radhi wana Ukonga na wala si masuala ya kivyama hapa ila Jimbo letu lina barabra mbovu sana.