CCM Yakalia kuti kavu Ukonga

CCM Yakalia kuti kavu Ukonga

Mkuu umempa jibu mwafaka kabisa.

Acha udaku ww,ubungo kunanini!maji mnapata mara 2 kwa mwez napo mwakata jisifia,barabara ya kwenda Kibangu,makubur,darajan na kwingneko iko ktk khal gani?pale darajan lile dampo n mahala pake?,acha kushadadia vitu usvovjua ww,
 
Kiongozi yeyote alie choka kifikra nakuishiwa point ukimuelezea ukweli ua anang'aka kwa hasila nakufoka badala ya kujibu alivo ulizwa.nyinyi amuwaoni makupe ccm wanavo ambiwa ukweli na kung'aka kama mbwa alie pigwa kwao najiwe kwakujikaza anabweka kwa asila ili asaidiwe ndo ccm wanaongea kwa asila eti sisi wananchi tuwaulumie watakufa na BP 2015 pipoooz kaza buti tunaelekea kwenye ushindi. Wagalika
 
Jimbo la Ukonga ni kati ya majimbo ambayo CCM ina hali ngumu sana na hii ni kutokana na maendeleo duni katika jimbo hilo. Mbunge wa Jimbo hilo Eugene Mwaiposa ni kati ya wabunge ambao hawaongei chochote cha kupigania Jimbo lake. Ni mbunge ambaye ameshindwa kufanya mkutano wowote wa hadhara Jimboni kwake kwa aibu ya kuzomewa na kushindwa kujibu kero za wananchi.

Jimbo la Ukonga barabara zake asilimia 90% ni mbovu na hazipitiki kabisa kipindi cha mvua.Kutokana na ubovu wa barabara hizo kipindi cha mvua wananchi wanatozwa mpaka shilingi 1000/- kutoka kituo kimoja hadi kingine. Hali hiyo imekuwa ni kicheko na mbeleko kubwa kwa chama cha CHADEMA. Kwa sasa CHADEMA ndio inashikilia siasa za Ukonga na wamekuwa wakifanya mikutano mfululizo kwenye matawi na Kata. Kunawiri kwa CHADEMA Jimboni Ukonga kunachangiwa pia na viongozi wa chama hicho ngazi ya Jimbo kushirikiana kwa pamoja kuimarisha chama kwa kufanya kazi bila kuchoka.

CHADEMA wamekuwa wakiwaeleza wazi wananchi kwamba mateso yao yanatokana na kuichagua CCM kwenye uchaguzi uliopita. CHADEMA imekuwa ikiwapa mfano wa majimbo ya Ubungo na Kawe yanayoshikiliwa na CHADEMA jinsi wabunge wake wanavyopiga kelele na jinsi kulivyo na maendeleo makubwa katika majimbo yao. Ni ukweli ulio wazi kwa hali ya CCM jimboni Ukonga ni ya kusikitisha sana.Matawi mengi yanafungwa na kugeuzwa kuwa ngome za CHADEMA.

Na endapo hali ikiendelea hivi hivi ni wazi CHADEMA itapata ushindi mkubwa kwenye jimbo hili uchaguzi ujao na idadi kubwa ya madiwani. Wanachpaswa CHADEMA tu ni kuteua wanachama wanaokubalika kugombea nafasi za Ubunge na Udiwani.

Hii ni Tathmini yangu binafsi baada ya kuzunguka kata zote za Ukonga kwa ziara binafsi kwa kipindi cha wiki mbili.
Ni suala la kujipanga na kuweka mikakati ya kueleweka maana yule mbunge wa segerea a.k.a mwizi wa kura 2015 anarudi jimbo la ukonga.
 
Ndo maana nakwambia waongea vitu usivovijua ww,njoo kitunda mwanagati kama hutokuta bomba la dawasco,na kwa taarifa yako miongon mwa majimbo bora dsm kwa upatkanaj wa maji safi ukonga lipo,n wapi unaskia kuna shida ya maji ukonga,npo kitunda n barabara ipi isiyokuwa na ubora?leta za Kawe,ubungo kuelekea kibangu,maziwa,leta jimbo ya segerea,,,,,acha kuongea vtu kwa msukumo wa itkadi yako so far wanaukonga ndo wapigao kura sion 7bu yako ww kukata mauno ngoma ya jirani.

Utahangaika sana kwa Porojo zako lakini nikuhakikishie wananchi wa Ukonga si wajinga kama unavyodhani.

Huoni hata aibu kutetea jimbo ambalo kipindi cha mvua hakuna hata barabara moja inayopitika?

Nyie ndiyo walamba viatu vya wabunge wa CCM ambao mnahemea beer na nyama choma halafu hamuwaambii ukweli matokeo yake CCM inachukiwa kila kona ya Ukonga.
 
Unasema hata vtu usivovijua ww,Barabara ya kutoka RiverSide kwenda Kibangu iko vipi?Makuburi je,,,,,Maji nayo mnasema nn mpaka mwamlilia wazir na maandamano,,,tembea ukonga yote ukikuta kuna shida ya Maji ujue kunawalakin myb diwan yupo wa CDM hafanyii kaz wananch wake zaid ya kuchangisha pesa kuwalisha Slaa,Mnyika,Mbowe na Lema.

Leo nadhani Mwaiposa itabidi akuongezee bili ya beer na nyama choma.

Mwambie mbunge wako ajitokeze afanye mikutano na wananchi. Huoni hata aibu kutetea upuuzi.

Nikuhakikishie kwa jinsi wananchi wa Ukonga walivyochoka wako radhi kupigia kura jiwe kuliko CCM uchaguzi ujao.Mark my words!
 
Acha udaku ww,ubungo kunanini!maji mnapata mara 2 kwa mwez napo mwakata jisifia,barabara ya kwenda Kibangu,makubur,darajan na kwingneko iko ktk khal gani?pale darajan lile dampo n mahala pake?,acha kushadadia vitu usvovjua ww,

Matusi yako hayawasaidii chochote wananchi wa Ukonga.Sana sana yanakuonyesha usivyo mtu makini.

Hapa tunajadili matatizo makubwa yaliyoko Ukonga mpaka imefikia mahali mbunge wa Ukonga hathubutu kufanya mkutano wowote wa hadhara.

Unaeleza ubovu wa barabara za ubungo sasa zinasaidiaje kutatua ubovu wa barabara za Ukonga?

Kila leo tunamsikia Mnyika akipigia kelele matatizo ya Ubungo mbona huyu mbunge wa Ukonga yeye amekuwa mbunge wa kula Posho tu?

Wewe ni mtu gani usiyeguswa na shida ya barabara za Ukonga kipindi cha mvua? Tena hapa wala sitalaumu serikali bali nitalaani kuwa na mbunge asiyejua wajibu wake na madiwani wa CCM ambao kazi yao ni kunywa beer tu na nyama choma.

Fahamu kwamba utapeli wa kisiasa wa huyu mbunge na madiwani wa CCM ndiyo umeipa nguvu kubwa Chadema kiasi kwamba ndiyo wanaoshirikiana kila kitu na wananchi hasa katika kipindi hiki cha shida kubwa ya barabara.
 
Kiongozi yeyote alie choka kifikra nakuishiwa point ukimuelezea ukweli ua anang'aka kwa hasila nakufoka badala ya kujibu alivo ulizwa.nyinyi amuwaoni makupe ccm wanavo ambiwa ukweli na kung'aka kama mbwa alie pigwa kwao najiwe kwakujikaza anabweka kwa asila ili asaidiwe ndo ccm wanaongea kwa asila eti sisi wananchi tuwaulumie watakufa na BP 2015 pipoooz kaza buti tunaelekea kwenye ushindi. Wagalika

Umeeleweka mkuu...
 
Ni suala la kujipanga na kuweka mikakati ya kueleweka maana yule mbunge wa segerea a.k.a mwizi wa kura 2015 anarudi jimbo la ukonga.

Mkuu usihofu.Ukonga wananchi wameichoka CCM na wanaamini kila mtu wa CCM atakuwa sawa na huyu mama ambaye ameshusha kabisa hadhi ya Ubunge.
 
Jimbo la kawe,kwa shibuda,kwa wenje,kiwia,hai kwa mnowe,arusha kwa lema huko mmefanya nini.
 
Ni majimbo machache yanayoshiliwa na magamba yana maendeleo
 
Ni majimbo machache yanayoshiliwa na magamba yana maendeleo

Angalau jimbo la Deo Fulikunjombe la Ludewa lina mtu anayetetea wananchi.

Karibu wananchi wote wa Ukonga hawamjui hata kwa sura mbunge wao.
 
Maendeleo jimbo la ukonga kwa sasa yako wazi na yanaweza kupingwa tu na watu wasiotaka kufanya tathmini ya ukweli. Ni chuki tu dhidi ya CCM kwa wengi wenu humu.
 
N ukonga ipi unayoiongelea ww,acha kuropoka vtu usivovijua ww,,,,,,ukonga ipo shwari kabsa na sisi ndo wakaz wa ukonga na ndo wapiga kura sasa ww fanya ziara njaa yako uwaongopee vichaa mbuz wenzako,,,mAma bdo anaushawish mkubwa jimbon kwake,kupiga kelele jukwaan sio utendaji kaz huo,hatuchagui mtu anaelezea mapungufu,tunataka mtu anaelezea strategz atakazozitumia kuleta chachu ya maendeleo jimboni.

Mmh ndugu, una hakika na usemacho? Inawezekana mama Mwaiposa alikutembeza kwenye jimbo la jirani.
 
Maendeleo jimbo la ukonga kwa sasa yako wazi na yanaweza kupingwa tu na watu wasiotaka kufanya tathmini ya ukweli. Ni chuki tu dhidi ya CCM kwa wengi wenu humu.

Mkuu nataka uorodheshe walau mambo matano tu aliyofanya mbunge Mwaiposa.

Pili tuelezee hali ya barabara za Ukonga kipindi cha mvua.
 
Mmh ndugu, una hakika na usemacho? Inawezekana mama Mwaiposa alikutembeza kwenye jimbo la jirani.

Dina umemaliza kila kitu.Huenda alimtembeza Jimbo la Ubungo akadanganywa ni Ukonga.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom