Kiboko.
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 2,896
- 1,214
Dina umemaliza kila kitu.Huenda alimtembeza Jimbo la Ubungo akadanganywa ni Ukonga.
Kitasa ww bet always upo nayo ndo maana wasema non sense,mie nmekaa ubungo miaka zaid ya 20,shida tupu maji hakuna,barabara mbovu,viz ndo usiseme,,,,njoo ukonga,hakuna shida ya maji kabsa n kuchagua wataka dawasco au maji ya kisima ts yo optn,barabara zpo poa compared to za ubungo uliokuwa populated muda mrefu kulko Ukonga sasa unasema kip labda?au mnadhan kwenda bungen na kushabikia chama chako ndo kuwa bora kiuchapakaz?~=±{«£¥.
Last edited by a moderator: