CCM Yakalia kuti kavu Ukonga

CCM Yakalia kuti kavu Ukonga

- Ok ngoja nijaribu kukuelewa vizuri na hoja zako mgando, 1. Mimi ni mmoja wa watu unaowapuuza sana humu jamvini, lakini umekuja kunijibu anyways, that is incredible ha! ha! ha! Yaaani thread zote humu za unaowaheshimu umeziacha na kuja kunijibu unayeniipuuza? Really? ha1 ha! ha!

-2. Nina Miaka 60, ok kwa hiyo ni mzee so sina akili sawa sawa? So now umeelewa ile hoja kwamba DR. Slaa mwenye miaka 75 ndio balaa zaidi, au? ha! ha! ha!, 3. Ni kweli nina-Socialize sana maana sio Crime, lakini siajwahi kunywa bia wala kuvuta sigara wala kunywa pombe katika maisha yangu so!, unaona hoja zako zilivyo mgando sana huna hoja! ha! ha! ha!

- Ukonga nina shamba na nyumba, so back off maana hujui unachokisema!!, ni majuzi tu nilikuwa huko nikaongea sana na Mbunge wa Segerea akanihakikishia kwamba Hela za bara bara ya Relini mpaka Segerea gerezani tayari zimetolewa so ni bara bara zote za Segerea na Ukonga, so naijua Ukonga kuliko wewe na mapovu yako empty!!

Le Mutuz

Out of Topic...

You are supposed to be Ignored as Always!
 
Which is which, Mwaiposa hausiki na Barabara za Jimbo la Ukonga au Jimbo la Ukonga lina Barabara nzuri? sikuelewi!

vyote

barabara ni mbaya sawa, na huko kijijini kwenu pia kuna barabara mbaya.. ila kwa kuongezea tu, mwaiposa hajengi barabara, mfumo uliopo hauko hivyo. unaweza hata kumuweka mbowe na bado barabara isijengwe

cha maana ni kuitoa ccm yote madarakani na sio mwaiposa pekee
 
vyote

barabara ni mbaya sawa, na huko kijijini kwenu pia kuna barabara mbaya.. ila kwa kuongezea tu, mwaiposa hajengi barabara, mfumo uliopo hauko hivyo. unaweza hata kumuweka mbowe na bado barabara isijengwe

cha maana ni kuitoa ccm yote madarakani na sio mwaiposa pekee
Akili yako inakutuma watu wooooote, walikuja kwa garimoshi hapa Dar sio? kwani mlipokuja Dar mlikuta wanyama na misitu hapa? Ukiamua kutetea -----, basi tetea mpaka mwisho, kuna post yako umesema ukonga ina barabara nzuri kisha ukadai mbunge hausiki na barabara, nilipokuuliza which is which, unasema yote na habari za vijijini mie zinanihusu vipi? CCM kutoka au kutotoka yote hainihusu ni ya watanzania wote ila hili la Ukonga tunamtoa 2015 peke yake.
 
Akili yako inakutuma watu wooooote, walikuja kwa garimoshi hapa Dar sio? kwani mlipokuja Dar mlikuta wanyama na misitu hapa? Ukiamua kutetea -----, basi tetea mpaka mwisho, kuna post yako umesema ukonga ina barabara nzuri kisha ukadai mbunge hausiki na barabara, nilipokuuliza which is which, unasema yote na habari za vijijini mie zinanihusu vipi? CCM kutoka au kutotoka yote hainihusu ni ya watanzania wote ila hili la Ukonga tunamtoa 2015 peke yake.
usihangaike na akili yangu, kuwa busy na uwezo wako wa kuelewa

Ukimaliza hayo tafuta maisha ya familia, kama utakua umefanikiwa na hilo basi endelea ku-type humu ilimradi siku ziende

hatulingani kwa chochote kile
 
vyote

barabara ni mbaya sawa, na huko kijijini kwenu pia kuna barabara mbaya.. ila kwa kuongezea tu, mwaiposa hajengi barabara, mfumo uliopo hauko hivyo. unaweza hata kumuweka mbowe na bado barabara isijengwe

cha maana ni kuitoa ccm yote madarakani na sio mwaiposa pekee

Hoja dhaifu sana na tena unazidi kumzika kisiasa Mwaiposa.

Alipokuwa kwenye kampeni za ubunge mwaka 2010 Eugene Mwaiposa alituahidi ndani ya miaka miwili tatizo la Barabara Ukonga litabaki historia.Alitutolea mpaka ratiba alizodai ni za kutengeneza hizo barabara.

Leo ni mwaka wa Nne siyo tu kwamba hakuna barabara iliyojengwa bali hata zile mbovu limekosekana greda la kupunguza mashimo makubwa yaliyojichimba kipindi cha mvua.

Ninasema tena hapa sitalaumu serikali kabisa bali ni utapeli wa kisiasa wa huyu mbunge.

Tumekuwa tukishuhudia majimbo ya wenzetu wakitumia hela za mfuko wa Jimbo anazopewa mbunge kila mwezi kusaidia maendeleo ya Jimbo.

Huyu mbunge wa Ukonga hajawahi kutumia hata senti tano za mfuko wa Jimbo anazopewa walau kusawazisha mashimo makubwa kila kona ya jimbo ambapo wenye magari binafsi inabidi wayapaki banana kuepuka kuharibu magari yao!

Huyu ni mbunge pekee ambaye hathubutu kuitisha mkutano wowote wa hadhara ndani ya Jimbo lake kwani atazomewa hata na wana CCM wenzake!
 
usihangaike na akili yangu, kuwa busy na uwezo wako wa kuelewa

Ukimaliza hayo tafuta maisha ya familia, kama utakua umefanikiwa na hilo basi endelea ku-type humu ilimradi siku ziende

hatulingani kwa chochote kile

Afadhali sasa umejionyesha wazi.

Kumbe wewe ni mpiga porojo tu na huenda hujawahi kufika Ukonga.

Nakushauri siku moja tembelea Ukonga ukutane na wana CCM wenzako halafu mtetee huyu mbunge ndipo wanaCCM wenzako watakapokuchapa vibao hadharani.

Hapa tunajadili maendeleo ya Ukonga wewe unaleta hadithi za Alfu Lela Ulela!
 
usihangaike na akili yangu, kuwa busy na uwezo wako wa kuelewa

Ukimaliza hayo tafuta maisha ya familia, kama utakua umefanikiwa na hilo basi endelea ku-type humu ilimradi siku ziende

hatulingani kwa chochote kile


Utter nonsense
 
Ukonga yupo kamanda Aweda Mikaili. Segerea yupo Mpendazoe. Lazima ccm wakae kutokana na za chembe
 
Mimi Mkaz wa ukonga sjui hayo matatizo ya maji na barabara n kutoka jimbo gani vile?au mwasemea Kawe?Kitunda yote ipo sawa,ukonga magereza moshi bar,gombs kote shega cjui nyoe n matatzo yap mnayoyasema*afu mkutano wa hadhara ulifanyika viwanya vya kitunda shule alipotoka Dom kwenye bunge la bajeti,achen kuzusha ----- nyie vibaraka wa Babu salaa,muulzen mwenzenu Ludovick yaylomkuta.
 
Mkuu, wakalie kuti kavu mara ngapi? Huko Ukonga si ndiko tuliambiwa 'walishinda' (kama kweli huo nao ni ushindi) kwa mgombea wao kukimbia na kukamatwa na masanduku ya kura? Watu walioshindwa lakini wakapata ubunge kwa kuchakachua kweli utasema wamekalia kuti kavu?
Ukweli ni kwamba huko walishashindwa tayari.
 
Afadhali sasa umejionyesha wazi.

Kumbe wewe ni mpiga porojo tu na huenda hujawahi kufika Ukonga.

Nakushauri siku moja tembelea Ukonga ukutane na wana CCM wenzako halafu mtetee huyu mbunge ndipo wanaCCM wenzako watakapokuchapa vibao hadharani.

Hapa tunajadili maendeleo ya Ukonga wewe unaleta hadithi za Alfu Lela Ulela!
ina maana hadi leo ulikua hujajua kuwa mie mpiga porojo humu, hili jamvi yakhe, twapiga porojo na kujifunza watu wanaishije

If you want kuweka hoja ya kuondoa ccm ukonga weka vizuri na usimame kulinda kura, sio kuwa typist tu humu.... na unapojenga hoja jenga hoja sio ushabiki; juma nature alishawaambia, pigeni kelele za lami, yeye anataka kujua nyumbani watakula na kulala??

anyway, wacha tupige porojo tu, maana wenye nia na jimbo wameshasimama na vikao vinaendelea kama kawa kuitoa ccm (wakati wewe focus yako ni Mwaiposa)
 
ina maana hadi leo ulikua hujajua kuwa mie mpiga porojo humu, hili jamvi yakhe, twapiga porojo na kujifunza watu wanaishije

If you want kuweka hoja ya kuondoa ccm ukonga weka vizuri na usimame kulinda kura, sio kuwa typist tu humu.... na unapojenga hoja jenga hoja sio ushabiki; juma nature alishawaambia, pigeni kelele za lami, yeye anataka kujua nyumbani watakula na kulala??

anyway, wacha tupige porojo tu, maana wenye nia na jimbo wameshasimama na vikao vinaendelea kama kawa kuitoa ccm (wakati wewe focus yako ni Mwaiposa)

una Shahada ya tatu ya UJINGA
 
una Shahada ya tatu ya UJINGA

actually nina tano, kuna mbili umesahau... i am chasing the sixth one... its a wonderful feeling

two more and i will be just like you
 
Maendeleo jimbo la ukonga kwa sasa yako wazi na yanaweza kupingwa tu na watu wasiotaka kufanya tathmini ya ukweli. Ni chuki tu dhidi ya CCM kwa wengi wenu humu.

UMEONA EEH, WATANZANIA TNAWACHUKIA CCM C KWA UONGO WA AHADI ZAO TU ZA 2010 BALI PIA KWA UFISADI PIA UHUJUMU WA UCHUMI WETU, ONA MATENDO YA KATIBU MKUU KINANA JINSI ALIVYOLETA UGUMU WA KUPAMBANa NA UJANGILI
 
ina maana hadi leo ulikua hujajua kuwa mie mpiga porojo humu, hili jamvi yakhe, twapiga porojo na kujifunza watu wanaishije

If you want kuweka hoja ya kuondoa ccm ukonga weka vizuri na usimame kulinda kura, sio kuwa typist tu humu.... na unapojenga hoja jenga hoja sio ushabiki; juma nature alishawaambia, pigeni kelele za lami, yeye anataka kujua nyumbani watakula na kulala??

anyway, wacha tupige porojo tu, maana wenye nia na jimbo wameshasimama na vikao vinaendelea kama kawa kuitoa ccm (wakati wewe focus yako ni Mwaiposa)

Utter Nonsense
 
UMEONA EEH, WATANZANIA TNAWACHUKIA CCM C KWA UONGO WA AHADI ZAO TU ZA 2010 BALI PIA KWA UFISADI PIA UHUJUMU WA UCHUMI WETU, ONA MATENDO YA KATIBU MKUU KINANA JINSI ALIVYOLETA UGUMU WA KUPAMBANa NA UJANGILI

Mkuu maneno yako yamemkmbiza hatarudi tena..
 
Huyo kinana c mpeleke mahakaman?we usilishwe Sumu na wanasiasa njaa ukaimeza huku ukjua unamaziwa kwenye Kopo shtuka,Knana he z innacent dats y huon mtu akipeleka pua yake mahakaman.....wanashindwa kuwasue kina Ndesamburo wenye vitaru vyao huko wanamkimbila jus an agent wa meli?nonsense.
 
Huyo kinana c mpeleke mahakaman?we usilishwe Sumu na wanasiasa njaa ukaimeza huku ukjua unamaziwa kwenye Kopo shtuka,Knana he z innacent dats y huon mtu akipeleka pua yake mahakaman.....wanashindwa kuwasue kina Ndesamburo wenye vitaru vyao huko wanamkimbila jus an agent wa meli?nonsense.

Mkuu nakushauri andika kwa kiswahili kwa sababu unajidhalilisha kutumia lugha ya watu usiyoijua.

Siyo lazima umeze kila unachokaririshwa hapo Lumumba.
 
Mmh ndugu, una hakika na usemacho? Inawezekana mama Mwaiposa alikutembeza kwenye jimbo la jirani.

Nnaish ukonga mie,tena kitunda sasa hlo kutembezwa umelsema wwa,achen uzush usio na mantnk,njooon 2015 muone mtakavokula mweleka.
 
Back
Top Bottom