Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
- Thread starter
- #121
- Ok ngoja nijaribu kukuelewa vizuri na hoja zako mgando, 1. Mimi ni mmoja wa watu unaowapuuza sana humu jamvini, lakini umekuja kunijibu anyways, that is incredible ha! ha! ha! Yaaani thread zote humu za unaowaheshimu umeziacha na kuja kunijibu unayeniipuuza? Really? ha1 ha! ha!
-2. Nina Miaka 60, ok kwa hiyo ni mzee so sina akili sawa sawa? So now umeelewa ile hoja kwamba DR. Slaa mwenye miaka 75 ndio balaa zaidi, au? ha! ha! ha!, 3. Ni kweli nina-Socialize sana maana sio Crime, lakini siajwahi kunywa bia wala kuvuta sigara wala kunywa pombe katika maisha yangu so!, unaona hoja zako zilivyo mgando sana huna hoja! ha! ha! ha!
- Ukonga nina shamba na nyumba, so back off maana hujui unachokisema!!, ni majuzi tu nilikuwa huko nikaongea sana na Mbunge wa Segerea akanihakikishia kwamba Hela za bara bara ya Relini mpaka Segerea gerezani tayari zimetolewa so ni bara bara zote za Segerea na Ukonga, so naijua Ukonga kuliko wewe na mapovu yako empty!!
Le Mutuz
Out of Topic...
You are supposed to be Ignored as Always!