Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,385
Wewe ndiye unayeteua mgombea wa Chadema?
Hapana, mama yako ndio anateua.
Wewe ndiye unayeteua mgombea wa Chadema?
Hapana, mama yako ndio anateua.
Mama yangu hahusiki na uteuzi wowote.Ila wewe ndiye uliyetaja mgombea wa Chadema.
Nakuuliza tena wewe ndiye unayeteua mgombea wa Chadema? Swali rahisi sana hili hata ngumbaru anaweza kujibu.
Tathimini nzuri baada ya nusu ya kipindi cha kwanza kwisha ni lazima chadema waanze kuwatambulisha wagombea wao mapema au walio na malengo ya kugombea huu ndo muda wa kufahamika kwa kuwa karibu na wananchi na kushirikiana nao
Sisi wakazi wa Ukonga wanachama wa CDM, una swali jingine?
Hapanaaaaa me sina chama chochote hapa Tz na nna kwambia chama cha demokrasia na maendeleo kikishka kiti cha urais mwaka 2015 ntafute.
Kikao kilifanyika lini na wapi?
Kwa mzee Mtei siku tuliyompitisha Slaa kugombea urais.
Hili ni Jukwaa la GT.Naona umepotea njia.
Natangaza nia jamani, mm ni mzalendo kabisa wa jimbo hili, ninaishi kata ya Msongola.
Nataka nije kuwaokoa watu wa Msongola,Moshi bar,kipunguni,Kitunda yote na jimbo letu kwa ujumla, pigia kampeni mm mwenye maono na jimbo hili.
Kumb: Ni mgombea binafsi katiba ikiruhusu,isiporuhusu Cdm juu!!
Mazingira mazuri kwa kamanda Anselim Tryphon Ngaiza aka Soggy Dog Anter aka bichwa kuchukua ubunge.
Huyu labda apewe udiwani kata ya kipawa, hana uwezo wa ubunge kabisa
Halafu huyu jamaa si alikuwa CCM au alitoka mi sina habari? maana ukiwa mtangazaji radio Uhuru mpaka uwe na kadi ya Magamba
GT my foot hili ni jukwaa la wafanyakazi wa kitengo cha upambanaji mtandaoni na hapa nakusaidia kufanya kazi yako shwain.
Jerry anajiandaa kugombea Ukonga
Huyu sina tabia ya kujibizana na wanaotukana matusi.Natambua tu ni ukosefu wa maadili.
Kwa jery akisimamishwa na CCM kugombea jimbo la ukonga wasitegemee kushinda, vijana wenzake hawampendi kabisa kwa tabia yake ya kuwachukuli wake zao, jamaa ni mgoni hatari