geraldkowero1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,838
- 647
CCM tuko imara sana! Hizi taarifa wala sio mpya ila wajumbe wana taarifa zote bila shaka.
Utahangaika sana na CCM wakati UKAWA hawana mgombea mpaka leo.
Mandla.
Kwa hiyo hata vikao vingine vya uteuzi , kama mkutano mkuu na halimashauri kuu mtafanyia ikulu kumkwepa Lowassa na kambi yake? Ndio maana nae kawaambia wana Dar leo kuwa ni nchi hii tu ambayo viongozi hulala na mashine nazo hulala. Ameahidi kuikomesha hali hiyo inayolazwa maendeleo yetu.