Ni kweli kabisa Mkuu, sijaona namna gani chama changu cha CCM kitakavyoanza kumuondoa LOWASSA.Jamaaa hawezekaniki jamaniiiiii
Wapinzani Bado hamjakomaa kisiasa kiasi cha kupewa Nchi, subirini 2055 kama bado mtakuwa hai.
Ikulu...Ukulu si ya babako
Hahaaaaa nimemuona lowasa sasa hivi taarifa ya habari azam tv, the guy is really sick, vidole vinatetemeka balaa, no coordination at all
cc FaizaFoxy
Wee ni mmoja wa wachache wenye akili.Wewe una mtazamo finyu. Unafikiri watanzania wanakusanyika maelfu kwa sababu wanamuunga mkono? Wwatu wanatafuta anachotoa, subiri apigwe chini uone kama kuna mtu atazungumza habari zake.
Wapinzani Bado hamjakomaa kisiasa kiasi cha kupewa Nchi, subirini 2055 kama bado mtakuwa hai.
Naelewa sana kuwa alikuwa sehemu ya serikali iliyoshindwa na hata ya nyuma yake.Labda wewe na ukada wako ndio huelewi kuwa tatizo la nchi hii ni mfumo wa uongozi wa serikali na chama chako kinachoongoza. Nae alikuwa waziri mkuu tu tena awamu hii ya nne angeweza kushauri na sio kubadilisha lolote.Sasa anakuja kama kiongozi wa nchi na atafutilia mbali mfumo huu unaokumbatia wezi na kutoa maamuzi kwa wakati muafaka.Nadhani nimekuongezea uelewa fulani tofauti na unavyonifikiria kuwa mimi ni -----.
hakuna kitu nachotamani kama hiki
lowasa akatwe na kamati kuu
baada ya kukatwa ahame ccm na wapambe wake woote
akishahama ccm kiparanganyike
kuanzia hapo tusiwe na chama tawala kibabe tena kama ca ccm
kuanzia hapo chama chochote cha upinzani kichukue nchi na kuanzia hapo tuwe tunabadilisha chama kinachotawala kama kenya
kila chama kikiingia madarakani kiwe macho kwani muda wowote kinaweza pigwa chini.
natamani ccm itoke madarakani
We mbona una ukimwi hujisemi au unajiona mzima..huyo ndo Rais na mjadala umefungwa...itafahamika tu
Jinga sana wewe, Sijawahi kula hata senti tano ya CCM, ila nasukumwa na mapenzi binafsi kwa chama pamoja na ukweli kuwa CCM ndio chama makini kuliko vyote TANZANIA, licha ya mapungufu madogo madogo yanayojitokeza hapa na pale! Ila CCM haina Mbadala kwa sasa, Wengine ni wasaga sumu tu!Umekula hela nyingi sana ya ccm, na kama unashabikia kwa ushabiki tu, kwa sasa unatakiwa kuwa ICU ya wagonjwa wa akili.
Ni kweli kabisa Mkuu, sijaona namna gani chama changu cha CCM kitakavyoanza kumuondoa LOWASA.
Jinga sana wewe, Sijawahi kula hata senti tano ya ccm, ila nasukumwa na mapenzi binafsi kwa chama pamoja na ukweli kuwa CCM ndio chama makini kuliko vyote TANZANIA, licha ya mapungufu madogo madogo yanayojitokeza hapa na pale! Ila CCM haina Mbadala kwa sasa, Wengine ni wasaga sumu tu!
Mutimueni, mwachani mpitisheni awe mgombea . mwaka huu hatudanganyiki. TUNAKWENDA NA UKAWA. tumechoka kubadilisha mashati
Ulitazama Dar es salaam Leo?