Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 950
- 2,866
Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Godfrey Chongolo kwa niaba ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg. Samia Suluhu Hassan, anakupongeza Ndg. John Keshokutwa Madenge kwa kuwa mstari wa mbele kukataa wapotoshaji wanaopinga hatua za uboreshwaji wa huduma za Bandari, kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM.
Chama kitaendelea kuisimamia Serikali itekeleze Ilani ili kutengeneza fursa za maendeleo kwa ajili ya Watanzania wote.
TunaImaniNaSAMIA
Chama kitaendelea kuisimamia Serikali itekeleze Ilani ili kutengeneza fursa za maendeleo kwa ajili ya Watanzania wote.
TunaImaniNaSAMIA