Jasusi,
Chadema isukufanye mpaka ukawatukana wazee wako.
Mkuu Ritz mimi ni ccm damu ila kwa alichokifanya Bulembo ni tendo ovu kabisa, hakika tumamiss Julius Nyerere
Jasusi,
Chadema isukufanye mpaka ukawatukana wazee wako.
walahi kama yupo basi akili yake imeshikizwa na msumali wa nchi 1,Hivi kuna mtu mwenye akili aliyebaki CCM?
Hivi punde nimemsikia m/kiti wa jumuiya ya wazazi CCM alihaji Majura Bulembo akidai kuwa maandamano yaliyotangwaza na CDM kufanyika ktk miji minne tar. 25 mwezi huu kudai kujiuzulu waziri wa elimu yanapaswa kuanzia Moshi. Kwa maelezo kuwa huko ndiko kwenye watoto na jamaa za wana-CDM. Badala yake eti maandamano yametajwa kufanyika katika miji mingine ili watoto na jamaa zao(wana - CDM) wasipate madhara. Je ni sahihi Bulembo kuitaja CDM kama chama watu wa Moshi? Nijuavyo mimi CDM ni cha watanzania wengi ktk mikoa yote ya Tz. Wanajamvi naomba kusahihishwa endapo nimekosea. Source: taarifa ya habari ITV
mkuu unalipwa nini kutetea upuuzi?hembu tafakari mkuu madhara yatakayotekea kwa siasa za ccmBONGOLALA,
Mbona Chadema wameishawagawa Watanzania siku nyingi tu.
Kuna Chadema Kanda ya Ziwa.
Kuna Chadema Kanda ya Kusini.
Kuna Chadema ya wenye chama Kanda ya Kaskazini.
Namsubiri Ritz aje na utumbo wake wa kutetea udini na ukabila!
Mtu mwenyewe anaambatana na "Le Mutuz" unafikiri anaweza kuwa na akili kweli!
Malema,
Wewe ni Chadema gani? Kanda ya Ziwa au Kanda ya Kaskazini au Kanda ya Kusini.
mkuu unalipwa nini kutetea upuuzi?hembu tafakari mkuu madhara yatakayotekea kwa siasa za ccm
Lakini hapa hebu tuondoe mambo ya uchama na ushabiki.......kuwa mkweli.......alichosema huyo Bulembo ni sahihi.....?
Malema,
Wewe ni Chadema gani? Kanda ya Ziwa au Kanda ya Kaskazini au Kanda ya Kusini.
Hiyo kauli imenisikitisha sana! Kwa nini watugawe kwa ukabira wakati sisi ni wamoja?
Bulembo alichosema siyo sahihi ndiyo siasa zetu za kimagumashi zilivyo.
Nani alisema Bulembo ana akili timamu? ingekua ulifuatilia kampeni za Ccm mwaka jana ungemjua alivyo!Nimelisikia hilo jamaa nikataka kurusha ngumi kumbe ni TV......hivi mtu mzima mwenye akili timamu unawezaje kusema hivyo...........
Hujakosea mkuu Taaluma Makini, CHADEMA ni chama cha watu wa Moshi/Kilimanjaro.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hujakosea mkuu Taaluma Makini, CHADEMA ni chama cha watu wa Moshi/Kilimanjaro.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkuu Ritz mimi ni ccm damu ila kwa alichokifanya Bulembo ni tendo ovu kabisa, hakika tumamiss Julius Nyerere