simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,699
- 9,591
Sheria inasemaje kuhusu HATE SPEECH? Msaada wanasheria
Hujakosea mkuu Taaluma Makini, CHADEMA ni chama cha watu wa Moshi/Kilimanjaro.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
kada wa ccm bulembo amesema maandamano ya chadema yaanzie kilimanjaro kwanza!amesema kila maandamano hayafanyiki kilimanjaro bali sehemu zingine.na waziri na naibu wa elimu hawajiuzulu kamwe
Na mimi nimemsikia nikashangaa île mbaya. Sasa sisi ambao ni CCM na tunatoka KIlly anataka tumweleweje? Kwamba Killy ni ya CHADEMA? Jamani kabla watu hajaongea wawe wanatafakari athari mbaya za matamshi yao kwa jamii.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Hivi kuna mtu mwenye akili aliyebaki CCM?
Ndo hivyo Ccm kupitia Bulembo anasema ni zamu yenu watu wa kilimanjaro mpigwe mabomu na jeshi la polisi, yaani anathibitisha kwamba kumbe polisi ndo wauaji wakubwa kwenye nchi hii!Na mimi nimemsikia nikashangaa île mbaya. Sasa sisi ambao ni CCM na tunatoka KIlly anataka tumweleweje? Kwamba Killy ni ya CHADEMA? Jamani kabla watu hajaongea wawe wanatafakari athari mbaya za matamshi yao kwa jamii.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mkuu wao ashawapa go ahead ya kutoa mihemko kama hyo thus why wanahemka tu watakavyo kila wanapoona bendera za cdm
Hujakosea mkuu Taaluma Makini, CHADEMA ni chama cha watu wa Moshi/Kilimanjaro.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
nimekuelewa nataka tupigane tuuwane sana mpaka kieleweke kila marefu yana mwisho nimechoka kabisa vita ijee!!wakenya walitwangana na sasa hivi wanaheshimiana; sasa zamu yetu imekuja maana madharau yamezidi, ukitetea wanyonge tu unabinywa na kuachwa na majeraha / kilema au hata kutoa roho yako; hizi ni dalili za mbaya sana.
1. Kuchoma makanisa
2. Kuuawa kwa mapadri
3. Kuteswa / kuuawa kwa waandishi wa habari
4. Kutekwa na kuteshwa kwa watetezi wa haki za wafanyakazi
dalili za siku za mwisho za amani ya nchi yetu.