Kwanini kwingine kote unataja mikoa, lakini ikifika Arusha unataja wilaya, na si mkoa? Wewe una matatizo dogo. Unatakiwa kukaa chini ujiangalie juu ya kinachokusukuma kuandika haya. Usiijekuwa unaandika kwa ajili tu ya 500 unayolipwa kwa kila post unayoweka hapa.Bila shaka mwenye akili atajiuliza, kwanini MAUAJI NDAGO SINGIDA,MOROGORO,IGUNGA, IRINGA.. Kwanini isiwe KARATU au KILIMANJARO?
Malalamiko tunayo,tumetaka kuiondoa ccm madarakani kwa muda mrefu sana,mikoa mingine inatuagushaa kwenye safari ya ukombozi.Sijui mimi, nasikia tu maanadamao mara kwa mara, Nilikuwa tu nachangia mada ya kwamba kwa nini hakuna maandamo KLM, nikasema labda mleta mada ana hoja hata mimi sijawahi kusikia maadamano toka kwetu KLM inaezekana labda hatuna malalamiko!
Je,ni kwanini chadema hawafanyi maandamano kwenye maeneo yao?
Karatu kwa slaa, kilimanjaro kwa mbowe! Hii ni kwa sababu bibi zao na ndugu zao wako huko,zinduka mtanzania kuwa mjanja kama slaa babu, amelipia kadi yake mpaka 2020! Anajua CCM ni chama pekee
Je,ni kwanini chadema hawafanyi maandamano kwenye maeneo yao?
Karatu kwa slaa, kilimanjaro kwa mbowe! Hii ni kwa sababu bibi zao na ndugu zao wako huko,zinduka mtanzania kuwa mjanja kama slaa babu, amelipia kadi yake mpaka 2020! Anajua CCM ni chama pekee
Na kwa taarifa tu! Pindi upelelezi utakapokamilika chama cha kigaidi chadema kitafutwa rasmi
Chama kilichofilisika na hakina sera kwao ili wapate political popularity lazima wafanye maandamano,wapange mipango ya kuuwa na kuisingizia serikali kupitia vibaraka wao ndani ya ccm.
Kuna rafiki yangu alikwenda baa siku moja kujiburudisha, lakini alipofika pale alishangaa kumkuta mchungaji wake yuko pale! alimfuata na kumuuliza mchungaji unafuata nini hapa baa kuna maovu mengi hapa! Yule mchungaji kwa busara sana akamjibu" Kwa sababu ya maovu hayo ndio maana niko hapa! Hii hadithi ina uhusiano gani na uzi huu, ni kuwa CDM hawana haja ya kuandamana kilimanjaro na karatu na huko "kwao" kwingine kwa sababu huko tayari wokovu umewafikia!
Hawawezi kuthubutu,Je,ni kwanini chadema hawafanyi maandamano kwenye maeneo yao?
Karatu kwa slaa, kilimanjaro kwa mbowe! Hii ni kwa sababu bibi zao na ndugu zao wako huko,zinduka mtanzania kuwa mjanja kama slaa babu, amelipia kadi yake mpaka 2020! Anajua CCM ni chama pekee
Huu ndio uzuri wa JF, mtu yeyote anayeweza kutumia key board anaruhusiwa kuandika chochote!Na kwa taarifa tu! Pindi upelelezi utakapokamilika chama cha kigaidi chadema kitafutwa rasmi
Na kwa taarifa tu! Pindi upelelezi utakapokamilika chama cha kigaidi chadema kitafutwa rasmi