Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,683
- 272,542
wakithubutu kurudia uchaguzi hata hivyo vijiji vitatu walivyoshinda kwa kura tanotano watanyang'anywa .Jamani hawa magamba msiwachukulie poa. Masanduku ya kura yako kwa nani? Yanalindwa na nani? Je, hamuoni kuwa wameisha yachakachua? Endapo hakimu ameshawekwa kati na magamba halafu akaamua kura zihesabiwe upya hamuoni yatashinda? Magamba huwa hayakurupuki aisee! Yako makini mno kwenye suala la wizi. Hizi chokochoko msizichukulie poa