Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,072
- 134,441
Sumbawanga Oyeeeh.Haaah,haaah
Akiongea na waandishi wa habari, katibu wa CCM mkoa amesema hawakubaliani na matokeo hayo kwa vile hayaendani na matokeo ya jumla waliyopata kwenye uchaguzi kama huo mwaka jana ki-mkoa ambayo ni asilimia 69.
Chanzo: ITV habari za saa.
My take; Hivi hajui mambo huwa yanabadilika, wananchi (CCM) wa mwaka jana si wa leo?
Labda katibu mwenyewe ndio huyu humu JF anajiita laki si pesa! hakuna ID ya Lumumba iliyoshine humu tangu huu uzi utundikweHivi huyu katibu wa ccm mkoa ni mzima kweli?
Hivi ni kweli hajui kwamba siasa inabadilika kila siku?
Hivi alidhani wananchi wa Sumbawanga watakuwa mbumbumbu kila siku?
Nadhani kichwa cha katibu huyu kimegoma kufikiri kama vilivyo vichwa vya viongozi wengi wa ccm.