Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,237
- 98,199
Akiongea na waandishi wa habari, katibu wa CCM mkoa amesema hawakubaliani na matokeo hayo kwa vile hayaendani na matokeo ya jumla waliyopata kwenye uchaguzi kama huo mwaka jana ki-mkoa ambayo ni asilimia 69.
Chanzo: ITV habari za saa.
My take; Hivi hajui mambo huwa yanabadilika, wananchi (CCM) wa mwaka jana si wa leo?
Kwahiyo anataka kusema kuwa cdm wameiba kura?kwa access gani chama cha upinzani kiibe kura?