CCM wapinga matokeo ya Serikali za mitaa Sumbawanga

CCM wapinga matokeo ya Serikali za mitaa Sumbawanga

Khasante Zitto,Khasante Kafulila,Khasante Ukawa.Mambo yameanza,ata sehemu nyingne wapinzani jipangeni hawa ccm wanamiguu mirefu misuri midogo mbona wanakula "Tobbo" tu,Wachumba tu hawa mbona watag'oka tu 2015.
Boyz II men wamekiaribu chama.
 
Wanajuta kwa nini hawakuwawekea mapingamizi toka awali! Si ajabu saa hizi Nape angekuwa anatamba walivyoshinda kwa asilimia 80%!
 
Akiongea na waandishi wa habari, katibu wa CCM mkoa amesema hawakubaliani na matokeo hayo kwa vile hayaendani na matokeo ya jumla waliyopata kwenye uchaguzi kama huo mwaka jana ki-mkoa ambayo ni asilimia 69.

Chanzo: ITV habari za saa.

My take; Hivi hajui mambo huwa yanabadilika, wananchi (CCM) wa mwaka jana si wa leo?

ccm bila hila na wizi wa kura hawawezi kushinda
 
Back
Top Bottom