CCM: Wananchi hawajawahi kudai Katiba mpya bali hilo ni takwa la wanasiasa kwa maslahi yao binafsi

kubali usikubali huo ndiyo ukweli ila hamtaki kuukubali wanasiasa wanataka katiba mpya kwaajili ya kipengele cha tume huru tu ambayo wanayoitumiani wana siasa mwananchi wa kawaida inamhusu nini?
Kuna tatizo hapa...

Hujui bado madahara ya mwanasiasa katika maisha yako ya kila siku..

Ni bora pia ungepitia ripoti ya Warioba ungejua wanaichi wanataka nini katika katiba mpya. usipende kusikiliza wanasiasa....
 
Wewe kumbe ni mpuuzi!

Subiri hivyo hivyo kwa matumaini ya kuzima mabadiliko yanayoendelea.

Ndio, Mbowe ni sehemu na yumo ndani ya mapambano ya kuleta mabadiliko hadi sasa, hata kama kuwemo kwake huko halikuwa lengo lake na chama chake tokea huko mwanzo. Wapenda haki watamtumia kama mmoja wa viongozi wanaotafuta haki ndani ya nchi yetu.

Watu kama wewe mliolaza akili, msioona chochote kuhusu manyanyaso wanayofanyiwa watu kwa sababu mnafaidika na unyanyasaji huo, huwezi kuona na hata ukiona huwezi kuamini kwamba nchi yetu Tanzania tayari tunaekekea kwenye ukombozi toka kwa mkoloni mweusi chini ya CCM.
Subiri, utakapotikiswa ndipo utajuwa tayari ukombozi wa nchi yetu umekwishaanza na unaendelea, hakuna wa kuuzuia tena.
Unapiga tu lomoni yaani bila madhara.

" we mpuuzi, subiri mabadiliko, subiri ukombozi umeanza", Lomoni za kutosha yaani.
 
Atasemaje kuhusu ACT na washirika wake kutaka TUME HURU YA UCHAGUZI kwanza kabla ya katiba mpya!
 
Akiongea na waandishi wa habari Leo 11/8/2021 ametoa maelekezo mwenye halmashauri na kisha kukaribisha maswali.
Moja ya swali ilikuwa Katiba mpya.
Muuliza swali amejenga hoja kwa kubalance vizuri sana.

Majibu yake ni Kwamba Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa na Si wananchi kwakuwa mabango ya kudai Katiba ni yakutafuta madaraka tu.

Amemhoji umewaona wananchi wakiwa namabango wakidai katiba?

Swali langu,

1. Mwananchi ni yupi?

2. Mwanasiasa ni yupi?

3. Kudai katiba kunahalalisha vipi kuwa huyu ni mwanasiasa?
Tureteeni hapa mwanaccm anayesema katiba mpya sii mahitaji ya watanzania ila ya wanasiasa wachache? Tunafahamu ccm wanaogopa maslahi Yao kuyeyika ndani ya katiba mpya na hawapo tayari kuona maslahi ya raia yakishamri.
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amehoji kama kuna siku wananchi wamewahi kubeba mabango wakidai katiba mpya?!

Kadhalika Chongollo amehoji Tume huru ya uchaguzi inamsaidia nini mwananchi wa kawaida hadi aidai?

Kimsingi katiba mpya ni dai la wanasiasa kwa maslahi yao na siyo hitaji la wananchi kwa sasa a esisitiza Chongollo

Source: Channel ten

My take; Nakubaliana na Katibu u
Maana yake ni ipi, wananchi waandamane ndo wapate katiba ili hali ni nchi ya amani? au


Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom