CCM: Wananchi hawajawahi kudai Katiba mpya bali hilo ni takwa la wanasiasa kwa maslahi yao binafsi

Huwezi kunielewa.

Ila ujumbe ulitolewa leo ni kuwa humu nchini hakuna mwanasiasa atakayetoa kafara maslahi yake ya kiutawala ili ampatie maslahi mwanasiasa mwingine, katiba mpya ni fursa ya maslahi kwa baadhi ya wanasiasa na hatari ya kupoteza kwa baadhi ya wanasiasa hivyo kama kweli katiba unaihitaji sana, simama na wenzio ipiganie bila kutumia mwanasiasa.
Usinifanye kuwa kilaza kama wewe usiyeelewa kitu.

Lakini ngoja nikusifu kwa kutambua hili uliloandika hapa mwenyewe, kama kweli unaelewa ulichoandika:

"Ila ujumbe ulitolewa leo ni kuwa humu nchini hakuna mwanasiasa atakayetoa kafara maslahi yake, ya kiutawala ili ampatie maslahi mwanasiasa mwingine"
Kama unaelewa maana ya maneno hayo uliyoandika hapa, sina sababu kabisa ya kuhangaika na wewe, ila kwa jambo moja tu usilolielewa vizuri kama inavyoonyesha kukomalia kwako kwa jambo hili.
Maslahi ya Tanzania (waTanzania), kamwe usiyachanganye na maslahi ya wanasiasa, iwe CCM, CHADEMA au chama kingine chochote cha siasa.

Wananchi wataungana na chama chochote/ kundi lolote litakalosimamia matakwa yao kuondoa dhulma za wazi amabazo sasa CCM wanaonyesha kwa wananchi wa nchi hii.

Wewe utaendelea kuimba hapa ukidharau juhudi hizo zinazofanywa kwa njia mbalimbali, ikiwemo na kujifanya kwamba wananchi hawana mahitaji ya Katiba Mpya, kwa vile tu kundi lako la utawala linafaidika na hali hiyo. Kuwa kipofu kwa maksudi hiyo ni hiari yenu, lakini haitazuia mabadiliko yanayokuja kuwafyekea mbali kama hamtazinduka toka kwenye ndoto hizi mbaya zinazowasumbua wakati huu.

Unadai hapo juu, kwamba hakuna wananchi wanaoweza kukabili bunduki milioni tano. Nikuhakikishie kwamba haihitajiki wananchi milioni tano; laki tano hadi milioni moja inatosha kabisa kuwatupilia mbali wavunja haki za waTanzania nyinyi mliolewa madaraka.

Safari hii hamponi.
 
Usinifanye kuwa kilaza kama wewe usiyeelewa kitu.

Lakini ngoja nikusifu kwa kutambua hili uliloandika hapa mwenyewe, kama kweli unaelewa ulichoandika:

"Ila ujumbe ulitolewa leo ni kuwa humu nchini hakuna mwanasiasa atakayetoa kafara maslahi yake, ya kiutawala ili ampatie maslahi mwanasiasa mwingine"
Kama unaelewa maana ya maneno hayo uliyoandika hapa, sina sababu kabisa ya kuhangaika na wewe, ila kwa jambo moja tu usilolielewa vizuri kama inavyoonyesha kukomalia kwako kwa jambo hili.
Maslahi ya Tanzania (waTanzania), kamwe usiyachanganye na maslahi ya wanasiasa, iwe CCM, CHADEMA au chama kingine chochote cha siasa.

Wananchi wataungana na chama chochote/ kundi lolote litakalosimamia matakwa yao kuondoa dhulma za wazi amabazo sasa CCM wanaonyesha kwa wananchi wa nchi hii.

Wewe utaendelea kuimba hapa ukidharau juhudi hizo zinazofanywa kwa njia mbalimbali, ikiwemo na kujifanya kwamba wananchi hawana mahitaji ya Katiba Mpya, kwa vile tu kundi lako la utawala linafaidika na hali hiyo. Kuwa kipofu kwa maksudi hiyo ni hiari yenu, lakini haitazuia mabadiliko yanayokuja kuwafyekea mbali kama hamtazinduka toka kwenye ndoto hizi mbaya zinazowasumbua wakati huu.

Unadai hapo juu, kwamba hakuna wananchi wanaoweza kukabili bunduki milioni tano. Nikuhakikishie kwamba haihitajiki wananchi milioni tano; laki tano hadi milioni moja inatosha kabisa kuwatupilia mbali wavunja haki za waTanzania nyinyi mliolewa madaraka.

Safari hii hamponi.
Sawa, upo tayari upewe ukumbi wa kupigania hayo maslahi ya watanzania ewe shupavu miongoni mwa laki tano hadi milioni moja? Kuna namna inaweza fanyika ukaachana na porojo ukapigania hiyo katiba.
 
Naj
Usinifanye kuwa kilaza kama wewe usiyeelewa kitu.

Lakini ngoja nikusifu kwa kutambua hili uliloandika hapa mwenyewe, kama kweli unaelewa ulichoandika:

"Ila ujumbe ulitolewa leo ni kuwa humu nchini hakuna mwanasiasa atakayetoa kafara maslahi yake, ya kiutawala ili ampatie maslahi mwanasiasa mwingine"
Kama unaelewa maana ya maneno hayo uliyoandika hapa, sina sababu kabisa ya kuhangaika na wewe, ila kwa jambo moja tu usilolielewa vizuri kama inavyoonyesha kukomalia kwako kwa jambo hili.
Maslahi ya Tanzania (waTanzania), kamwe usiyachanganye na maslahi ya wanasiasa, iwe CCM, CHADEMA au chama kingine chochote cha siasa.

Wananchi wataungana na chama chochote/ kundi lolote litakalosimamia matakwa yao kuondoa dhulma za wazi amabazo sasa CCM wanaonyesha kwa wananchi wa nchi hii.

Wewe utaendelea kuimba hapa ukidharau juhudi hizo zinazofanywa kwa njia mbalimbali, ikiwemo na kujifanya kwamba wananchi hawana mahitaji ya Katiba Mpya, kwa vile tu kundi lako la utawala linafaidika na hali hiyo. Kuwa kipofu kwa maksudi hiyo ni hiari yenu, lakini haitazuia mabadiliko yanayokuja kuwafyekea mbali kama hamtazinduka toka kwenye ndoto hizi mbaya zinazowasumbua wakati huu.

Unadai hapo juu, kwamba hakuna wananchi wanaoweza kukabili bunduki milioni tano. Nikuhakikishie kwamba haihitajiki wananchi milioni tano; laki tano hadi milioni moja inatosha kabisa kuwatupilia mbali wavunja haki za waTanzania nyinyi mliolewa madaraka.

Safari hii hamponi.
unajadiliana na mtu ambaye akili kazikabidhi kwa mama...chizi atakupotezea muda, ukijaribu kumwambia jalala ni chafu wakati mwenzio anajiona yupo KFC.
 
Sawa, upo tayari upewe ukumbi wa kupigania hayo maslahi ya watanzania ewe shupavu miongoni mwa laki tano hadi milioni moja? Kuna namna inaweza fanyika ukaachana na porojo ukapigania hiyo katiba.
Mbona tayari ukumbi mnauandaa wenyewe, au huna taarifa?
 
Naj

unajadiliana na mtu ambaye akili kazikabidhi kwa mama...chizi atakupotezea muda, ukijaribu kumwambia jalala ni chafu wakati mwenzio anajiona yupo KFC.
Najuwa.

Lakini huyu siyo chizi kama hawa wengi niliowahi waona hapa JF.

Huyu anaelewa wazi linalokuja kuwafyekea mbali CCM, anajikaza tu kuendeleza gumzo hapa.
 
Alituuliza lini kama tunahitaji tume huru na katiba mpya tukamwambia hatutaki? CCM iache tabia ya kuwa msemaji wa wananchi. Hii nchi tuachwe huru wananchi tuamue tunachotaka.
Brother, wale wahariri wa gazeti la Uhuru waliochapisha, mpaka likaingia mitaani, tayari wameshaonyesha wazi wazi kuwa wanataka Katiba mpya. Time will tell.
 
Mbona tayari ukumbi mnauandaa wenyewe, au huna taarifa?
Unakwepa kwepa, hata hivyo Ukumbi wa kumpigania jabali la siasa za upinzani mwenyekiti hujautumia hata ukitengenezewa ukumbi wa aina gani inaonekana mapambano yataishia humu humu kwa max.
 
Kama Katiba mpya ingekuwa kipaumbele Cha wananchi walio wengi kama tunavyoambiwa basi hao wananchi wangeiweka madarakani CDM ambayo katika chaguzi zote imekuwa ikiahidi hili.

Inakuwaje ishinde CCM isiyoahidi katiba mpya kama kweli ni kipaumbele chao.

NB:Mimi ni muumini wa kilichopo kwenye "Scoreboard" kwa hiyo kama mnaibiwa kura na mnashindwa kuchachamaa ili mbadili kilichopo kwenye ubao hizo kelele za kuibiwa kwangu ni porojo tu.
 
Mwambieni huyo chongo lao kwamba, maoni yaliyowekwa kwenye rasimu yalikusanywa kwa wananchi pia wanasiasa ni wanachi Tena siku wananchi wakianza kuidai katiba huo ukatibu utakuwa mchungu
 
Akiongea na waandishi wa habari Leo 11/8/2021 ametoa maelekezo mwenye halmashauri na kisha kukaribisha maswali.
Moja ya swali ilikuwa Katiba mpya.
Muuliza swali amejenga hoja kwa kubalance vizuri sana.

Majibu yake ni Kwamba Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa na Si wananchi kwakuwa mabango ya kudai Katiba ni yakutafuta madaraka tu.

Amemhoji umewaona wananchi wakiwa namabango wakidai katiba?

Swali langu,

1. Mwananchi ni yupi?

2. Mwanasiasa ni yupi?

3. Kudai katiba kunahalalisha vipi kuwa huyu ni mwanasiasa?
CCM naehani safari hii wana katibu mwenye upungufu labda wa akili au kumbukumbu.

Report ya Jaji Warioba ilisema wananchi wanataka nini? Kama chama kama CCM kinakuwa na KM ambaye hana hata kumbukumbu ya mambo ya wazi namna hiyo, hivi huyu uwezo wake wa akili utakuwa unaishia wapi?
 
kubali usikubali huo ndiyo ukweli ila hamtaki kuukubali wanasiasa wanataka katiba mpya kwaajili ya kipengele cha tume huru tu ambayo wanayoitumiani wana siasa mwananchi wa kawaida inamhusu nini?
Wewe ni boya hasa maana huelewi chochote kuhusiana na report ya Jaji Warioba. Akili yako huenda inaishia kwenye kuutambua tu mdomo wako upo wapi.
 
Akiongea na waandishi wa habari Leo 11/8/2021 ametoa maelekezo mwenye halmashauri na kisha kukaribisha maswali.
Moja ya swali ilikuwa Katiba mpya.
Muuliza swali amejenga hoja kwa kubalance vizuri sana.

Majibu yake ni Kwamba Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa na Si wananchi kwakuwa mabango ya kudai Katiba ni yakutafuta madaraka tu.

Amemhoji umewaona wananchi wakiwa namabango wakidai katiba?

Swali langu,

1. Mwananchi ni yupi?

2. Mwanasiasa ni yupi?

3. Kudai katiba kunahalalisha vipi kuwa huyu ni mwanasiasa?
Mimi si mwana siasa wala sitakuwa mwanasiasa.Suala la katiba ni takwa la wananchi siyo la wanasiasa.Kuna mambo mengi tunayashuhudia yanafanyika kutokana na katiba yetu isiyokithi mahitaji ya wakati huu.Tukumbuke katiba iliyopo sasa ni ya mfumo wa chama kimoja.CCM wanaonekana kupinga takwa la katiba mpya kwasababu wanajua waziwazi ikija katiba mpya kuna uwezekano wa kuangushwa katika chaguzi mbalimbali.Maendeleo na katiba vinakwenda pamoja.Leo tunashuhudia viongozi kama miungu watu.Uvunjaji wa haki unaathiri wanasiasa na wasio wanasiasa.Kwanini ccm mnakataa katiba mpya? Kimsingi sisi wananchi tunasemewa na wanasiasa na kama hatukubalini nao inadhihirika katika chaguzi.Lakini kwasasa hatuna chaguzi huru kutokana na haki kuminywa.Sasa nani watusemee wananchi? Wananchi ndiyo tulitoa maoni juu ya haja ya kuwa na katiba mpya kupitia tume ya jaji Warioba.
 
Mimi si mwana siasa wala sitakuwa mwanasiasa.Suala la katiba ni takwa la wananchi siyo la wanasiasa.Kuna mambo mengi tunayashuhudia yanafanyika kutokana na katiba yetu isiyokithi mahitaji ya wakati huu.Tukumbuke katiba iliyopo sasa ni ya mfumo wa chama kimoja.CCM wanaonekana kupinga takwa la katiba mpya kwasababu wanajua waziwazi ikija katiba mpya kuna uwezekano wa kuangushwa katika chaguzi mbalimbali.Maendeleo na katiba vinakwenda pamoja.Leo tunashuhudia viongozi kama miungu watu.Uvunjaji wa haki unaathiri wanasiasa na wasio wanasiasa.Kwanini ccm mnakataa katiba mpya? Kimsingi sisi wananchi tunasemewa na wanasiasa na kama hatukubalini nao inadhihirika katika chaguzi.Lakini kwasasa hatuna chaguzi huru kutokana na haki kuminywa.Sasa nani watusemee wananchi? Wananchi ndiyo tulitoa maoni juu ya haja ya kuwa na katiba mpya kupitia tume ya jaji Warioba.
Makofi kwako tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok,

Ili katiba mpya iwe hitaji la watanzania wote ipo haja ya wanasiasa kujichunguza walikokosea, na kuweka maslahi ya wananchi mbele kabla ya maslahi ya vyama vyao.

Wananchi hawaelewi hata mnachodai, wao wanataka barabara, maji, umeme, shule, ulinzi wao na mali zao... ila wakielewa kwanini mnadai katiba mpya na wakaona watapata faida gani kwayo watawaunga mkono.

Chadema mkiweza kuondoka humu mitandaoni na kwenda kufanya hili mtakuja kunishukuru😃😃

Ila kwa ninavyowajua wapinzani CCM bado wapo sanaaaaa
Kwanini tume ya Warioba ilichukua maini ya wananchi wasioelewa wanachodai?
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amehoji kama kuna siku wananchi wamewahi kubeba mabango wakidai katiba mpya?!

Kadhalika Chongollo amehoji Tume huru ya uchaguzi inamsaidia nini mwananchi wa kawaida hadi aidai?

Kimsingi katiba mpya ni dai la wanasiasa kwa maslahi yao na siyo hitaji la wananchi kwa sasa a esisitiza Chongollo

Source: Channel ten

My take; Nakubaliana na Katibu u
Bwashee kama upo Dodoma wahi hapo Mirembe ngoja mimi niitishe kikao cha ukoo tuje kukugharamia.
 
Unakwepa kwepa, hata hivyo Ukumbi wa kumpigania jabali la siasa za upinzani mwenyekiti hujautumia hata ukitengenezewa ukumbi wa aina gani inaonekana mapambano yataishia humu humu kwa max.
Wewe kumbe ni mpuuzi!

Subiri hivyo hivyo kwa matumaini ya kuzima mabadiliko yanayoendelea.

Ndio, Mbowe ni sehemu na yumo ndani ya mapambano ya kuleta mabadiliko hadi sasa, hata kama kuwemo kwake huko halikuwa lengo lake na chama chake tokea huko mwanzo. Wapenda haki watamtumia kama mmoja wa viongozi wanaotafuta haki ndani ya nchi yetu.

Watu kama wewe mliolaza akili, msioona chochote kuhusu manyanyaso wanayofanyiwa watu kwa sababu mnafaidika na unyanyasaji huo, huwezi kuona na hata ukiona huwezi kuamini kwamba nchi yetu Tanzania tayari tunaekekea kwenye ukombozi toka kwa mkoloni mweusi chini ya CCM.
Subiri, utakapotikiswa ndipo utajuwa tayari ukombozi wa nchi yetu umekwishaanza na unaendelea, hakuna wa kuuzuia tena.
 
Back
Top Bottom