Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
Wanalaani kauli ya CHADEMA Arusha juu ywa kuigawa nchi Kanda ya ziwa na mikoa ya kaskazini.Lakini pia wanampongeza Rais Jk kwa kuunda upya baraza la mawaziri.
Mkuu kuunda upya? au vilakaa
Wanalaani kauli ya CHADEMA Arusha juu ywa kuigawa nchi Kanda ya ziwa na mikoa ya kaskazini.Lakini pia wanampongeza Rais Jk kwa kuunda upya baraza la mawaziri.
Kamati ya ulinzi na uhasama ya mkoa c ilishapiga marufuku shughuli zote za kisiasa huko ugogoni?
we acha tu!
mkuu weka picha tuone. je wanao andamana ni viongozi wa kitaifa au nyumba kumi? Bora uwafuate sasa hivi uwapige picha kabla hawajapewa marupurupu coz wakishapewa watarudi wanacheka.
Hatukuwaona kuandamana baada ya ripoti ya CAG kutolewa,serikali ya majambazi wezi wanaishangilia,chama kimepoteza dira mvuto wanashangilia,Lusinde,Raisi Mkapa,Ole sendeka matusi hatukuwaona,Wabunge wa chadema kucharangwa mapanga na makada kuuawa hatujawaona hao ni majuha wa nchi hii
kweli hali mbaya ccm wanaandamana hapa dodoma wapo kame 50,wanatembea kama watu waliyokata tamaa kabisa,wengine wanaficha sura kama vile wamelazimisha.masikini CCM!
mungu wangu awasaidie na kuwaokoa watu ambao bado wanaiunga mkono ccm, 2015 ni lazima ccm itatoka 2 iwe kwa diplomatic au kwa force.
Peoples.............