CCM inatembea huku ikiwa imekufa

CCM inatembea huku ikiwa imekufa

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,781
Reaction score
50,303
Kwenye kiingereza kuna msemo maarufu wa "walking dead" ukimaanisha mtu anayetembea lakini anatenda matendo mafu.

Msemo huo unaashiria kuwa Kuna watu huwa wanaishi lakini wenyewe hawana hisia ama hutenda kama vile mazingira yanayowazunguka hayawaathiri.

CCM kama chama cha siasa, ni kama kimepoteza kabisa uhusiano wake na maisha ya kawaida ya watanzania.

CCM wenyewe wanaona kila kitu kiko sawa na kinafanyika kama kilivyokusudiwa na kinaleta matokeo chanya.

Ukiwasikia CCM wakiongea lazima ujiwe na swali hili la msingi. Jee wana akili timamu na maisha wanayoishi watanzania wengine ndiyo na wao pia wanayaishi?

Ni kama CCM inatembea huku ikiwa imekufa. Hii ni hatari Sana.
 
Kwenye kiingereza kuna msemo maarufu wa "walking dead" ukimaanisha mtu anayetembea lakini anatenda matendo mafu.

Msemo huo unaashiria kuwa Kuna watu huwa wanaishi lakini wenyewe hawana hisia ama hutenda kama vile mazingira yanayowazunguka hayawaathiri.

CCM kama chama cha siasa, ni kama kimepoteza kabisa uhusiano wake na maisha ya kawaida ya watanzania.

CCM wenyewe wanaona kila kitu kiko sawa na kinafanyika kama kilivyokusudiwa na kinaleta matokeo chanya.

Ukiwasikia CCM wakiongea lazima ujiwe na swali hili la msingi. Jee wana akili timamu na maisha wanayoishi watanzania wengine ndiyo na wao pia wanayaishi?

Ni kama CCM inatembea huku ikiwa imekufa. Hii ni hatari Sana.
Hicho imekitafuta kwa miaka na bado inatafuta kuoza na kutoa funza na harufu kali pia
 
Back
Top Bottom