nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
- Thread starter
- #81
Hivi hayo mnayosema ni ya kweli au utani wakuu?
Kweli Mkuu,wameingizwa Uwanja Wa Ccm Kirumba Wajisitiri,ila Ni Me Na Ke,sijui Itakuwaje?
Hivi hayo mnayosema ni ya kweli au utani wakuu?
Wanarandaranda Viwanja Vya Furahisha Kuelekea Villa Park,chakusikitisha Wengi Ni Kina Kina Mama Na Wa Bibi,huu Ni Ukatili,kama Kuna Mwana Ccm Akisoma Huu Uzi Aujulishe Uongozi,simu Yangu Haina Uwezo Wa Ku Appload Picha,mwana Jf Aliyepo Maeneo Haya Mwenye Simu Fresh Anisaidie Kuwapiga Picha Na Kuziweka:Machokoraa Watafanya Yao Leo.
Duhh!! Watakuwa wananuka kweli hao.Wametelekezwa kweli. maana tumeona watu wanatoka furahisha kwa miguu hadi nyegezi.na wengine wanaenda buhongwa!! wakilalamika na huku wakiwa wamenyeshewa kimvua cha saa mojamoja. ni sheeeda!
Uongo lini utaacha?
Dah kweli mm mwenyewe nmekutana na wakina mama wanaangaika usafiri wa kurudi igombe...wakawa wanalialia waliambiwa watarudishwa bure igombe wametelekezwa na hawana nauli nikwaonea huruma kwani wengine walikua na watoto wadogo mgongoni ikabidi niwape buku 5..walishukuru ila walinihaidi watampigia lowassa
Nenda Uwanjani Ccm Kirumba,nimeacha Wameingizwa Mle
tuma: support@jamiiforums.com wataziweka
We Njoo Pande Hizi Sasa Hivi Wamefunguliwa Waingie Uwanja Wa Ccm Kirumba Wajihifadhi Mpaka Kesho,ni Upuuzi Mnao Ufanya
Laana ya babu yako itakutafuna wewe miaka c mingi