CCM Wametelekeza Watu Mwanza

CCM Wametelekeza Watu Mwanza

Wamekwisha ambiwa kwamba wawe na subira kwani fuso bado zinawarudisha wale wanaotoka mbali kidogo,vilevile utaratibu wa kuwarudisha upo unaandaliwa endapo magari hayo yatachelewa.

Ni Ajabu Kumwona Magufuli Kakomaa Kuwaombea Kura Wagombea Kwa Watu Wasio Wakazi Wa Mwanza
 
Maswali mengi njiani yalikuwa "diamond kaja?" Sijaskia mtu akiuliza maghufuli kaja? UKAWA watu wanakula wanaenda mchana kumpokea rais wao. Njiani utaskia "RAIS LOWASSA KAFIKA?"
 
Kwa nini wananchi hawa huwa hawakomi???????
 
dah! kama hio ni kwelii! basi hio ni mimba nyengine!!!!!!!!!! mwaka huuu.........
 
Kwa nini wananchi hawa huwa hawakomi???????
Mkuu acha lawama bure. Mtu wa kijijini unamwambia usafiri bure na kumuona Diamond bure basi hata kama kuna mbuzi wa kuchunga atawaacha.
Tatizo ccm wahuni na walaghai mkutano ukiisha wengine wanatoswa
 
Daaah wameshawatumia il waonekane na wao wanaeza kufanya mafurko sasa wamewatelekeza. Daaah.
 
Kila cku huwa wanatekelezwa huku nilpo ccm hula chakula migahawan na kusepa bla kulpa cjui hawajielew atakae ichagua n wa kupmwa akili

Wametelekezwa kweli. maana tumeona watu wanatoka furahisha kwa miguu hadi nyegezi.na wengine wanaenda buhongwa!! wakilalamika na huku wakiwa wamenyeshewa kimvua cha saa mojamoja. ni sheeeda!
 
Wanarandaranda Viwanja Vya Furahisha Kuelekea Villa Park,chakusikitisha Wengi Ni Kina Kina Mama Na Wa Bibi,huu Ni Ukatili,kama Kuna Mwana Ccm Akisoma Huu Uzi Aujulishe Uongozi,simu Yangu Haina Uwezo Wa Ku Appload Picha,mwana Jf Aliyepo Maeneo Haya Mwenye Simu Fresh Anisaidie Kuwapiga Picha Na Kuziweka:Machokoraa Watafanya Yao Leo.

Umerogwa kazi tu jiji la Kwanza ulitikisika na wametembea kwa miguu toka airport kitendo ambacho Lowassa hawezi.
 
Kuna misa imeanza radio tumaini nikastuka nikafikiri ndio 24oct. Changes is inevitable
 
Sio kama wametelekezwa jamani, wanangoja tar.24 ili wahitimishe kampeni si unajua ccm hawajiamini mpaka warudi mwz mara ya pili, so hao jamaa watakula nyumbu kwa kwenda mbele..!!
 
Back
Top Bottom