CCM Wametelekeza Watu Mwanza

CCM Wametelekeza Watu Mwanza

Dah kweli mm mwenyewe nmekutana na wakina mama wanaangaika usafiri wa kurudi igombe...wakawa wanalialia waliambiwa watarudishwa bure igombe wametelekezwa na hawana nauli nikwaonea huruma kwani wengine walikua na watoto wadogo mgongoni ikabidi niwape buku 5..walishukuru ila walinihaidi watampigia lowassa


Siku Magufuli anatangazwa kuwa rais wa awamu ya tano mtatafuta kwa kutokea.
 
Duuu ndio maana kanda ya ziwa mikutano ya maguful inayorushwa kwenye luninga sura zilezile
 
Bora mwambie wabebe nauli za kurudi. Sio kuwadanganya
 
Unafiki wapi wakati ni kweli. Halafu Leo mabula alikuwa hajiamini kabisa. Kila akifikiria haoni nafasi ya kuwa mbunge wa nyamagana kwa wenje

Anajua Siri Ya Nyomi,hapakuwa Na Wapiga Kura Wa Mwanza Pale Na Jana Mkutano Wake Kule Kishiri Ulidoda Baada Ya Kujikuta Wenje Naye Anamkutano Pande Hizo
 
Baada ya kusoma ule uzi wa fiesta ya Mwanza leo, nilikuwa nasubiri habari ya watu kulekezwa. Hii imekuwa ni kawaida katika mikutano kama hii. Hivi kwa nini watu hawajifunzi?

tarehe 27 mtapoteana humu ndani.
 
Waliotelekezwa Mwanza ni kilio kila kona hapa uwanja wa furahisha. Yaani n shida ... Waliaidiwa kurudishwa lakini wakatelekezwa. Ni hatari aiseee. Muwape nauli mkiwaleta jamani. Msiwe mnawatelekeza
 
WanaCCM tuache sasa kulaghaiwa. Tumebebwa Morogoro, tukatekelezwa baada ya mkutano. Wengine ndoa zikavunjika baada ya kurudi nyumbani siku ya pili tukiwa hoi na wachafu. Kumbe yale malori yalikuwa yamekodiwa kwa tripu ya kwenda turn siyo kurudi! Tabora ni vivyo hivyo. Wengine wakabakwa sababu ya kulala nje ya uwanja. Malori hayakulipwa! Sasa Mwanza! Mhh! Nimechoka. CCM haitanioa. Nakipenda chama changu lakini sasa nimeamini kuwa maji yapo shingoni. Kuna maisha zaidi ya CCM. Ngoja nitetee ndoa yangu. Kwaheri CCM.
 
Ukawa huwa hatuna hulka ya kuzusha mambo tupieni ha picha tuone wakuu tusiongee maneno matupu
 
Siku Magufuli anatangazwa kuwa rais wa awamu ya tano mtatafuta kwa kutokea.

We Njoo Pande Hizi Sasa Hivi Wamefunguliwa Waingie Uwanja Wa Ccm Kirumba Wajihifadhi Mpaka Kesho,ni Upuuzi Mnao Ufanya
 
Hao mnaosema wameachwa walikua wapi hadi unatuletea taarifa yako hapa mkutano si umeisha mapema tu.
 
Ukawa huwa hatuna hulka ya kuzusha mambo tupieni ha picha tuone wakuu tusiongee maneno matupu

Muda Huu Wameingizwa Uwanja Wa Ccm Kirumba Walale,halafu Watu Wa Jinsia Tofauti,sipati Picha
 
WanaCCM tuache sasa kulaghaiwa. Tumebebwa Morogoro, tukatekelezwa baada ya mkutano. Wengine ndoa zikavunjika baada ya kurudi nyumbani siku ya pili tukiwa hoi na wachafu. Kumbe yale malori yalikuwa yamekodiwa kwa tripu ya kwenda turn siyo kurudi! Tabora ni vivyo hivyo. Wengine wakabakwa sababu ya kulala nje ya uwanja. Malori hayakulipwa! Sasa Mwanza! Mhh! Nimechoka. CCM haitanioa. Nakipenda chama changu lakini sasa nimeamini kuwa maji yapo shingoni. Kuna maisha zaidi ya CCM. Ngoja nitetee ndoa yangu. Kwaheri CCM.
Thank you, stand out of the cloud and smoke screen.
 
Hivi kwa akili ya kawaida CCM wanaweza jaza ule uwanja bila wasanii na kusomba watu
 
Back
Top Bottom