CCM wamekuja Chuoni kwetu kutuomba twende Sabasaba

CCM wamekuja Chuoni kwetu kutuomba twende Sabasaba

Wana jf ccm wamekuja hapa upanga unique collage kutuomba twende kwenye mkutano wao wametupa tsheti na usafiri wa mabus na kikubwa zaidi wametupromic pesa tutakapo maliza kuwashangilia.
Tupo upanga hapa chuo cheti[I /QUOTE]

Mmekubali au mmekataa hizo ghiriba za CCM? Kama mmekubali basi nyinyi mtakuwa ni CHOO CHA UNIQUE!
 
Wana jf ccm wamekuja hapa upanga unique collage kutuomba twende kwenye mkutano wao wametupa tsheti na usafiri wa mabus na kikubwa zaidi wametupromic pesa tutakapo maliza kuwashangilia.
Tupo upanga hapa chuo cheti
Mkuu Zamlock, Mungu awape nini tena?!, t-shirt ndio hizo!, usafiri ndio huo!, na pesa juu?!, changamkieni dili!, na muda wa ku upadate daftari la wapiga, hakikisheni mnajiandikisha na siku ya kupiga kura 2015, hakikisheni mnalipa fadhila ya hizo t-shirts, kofia na huto tujisenti!.

Kiukweli CCM wanafanya siasa safi!, yaani wanapendwa sana na vijana kwa sababu CCM inawajali kwa mavazi, pilau na pesa!.

CCM Oye!.

Pasco
 
kweli wamechoka bila kufanya hivyo hawapati watu wa maana
 
Wana jf ccm wamekuja hapa upanga unique collage kutuomba twende kwenye mkutano wao wametupa tsheti na usafiri wa mabus na kikubwa zaidi wametupromic pesa tutakapo maliza kuwashangilia.
Tupo upanga hapa chuo cheti
Sasa kuna shida kama ukienda kumsikiliza rais wa nchi?

 
Wana jf ccm wamekuja hapa upanga unique collage kutuomba twende kwenye mkutano wao wametupa tsheti na usafiri wa mabus na kikubwa zaidi wametupromic pesa tutakapo maliza kuwashangilia.
Tupo upanga hapa chuo cheti


Mafisadi wameishiwa mbinu Mkuu!
 
Sasa kuna shida kama ukienda kumsikiliza rais wa nchi?

siyo shida ila siyo kwa style hii waliyoitumia kuja kutueleza twende alafu watatupa poshoo.
Mimi nimerudi home nataka ni msikilize lakini siyo kuniohonga niende ukumbini name kuchomwa na jua kwenye maandamano
 
Wana jf ccm wamekuja hapa upanga unique collage kutuomba twende kwenye mkutano wao wametupa tsheti na usafiri wa mabus na kikubwa zaidi wametupromic pesa tutakapo maliza kuwashangilia.
Tupo upanga hapa chuo cheti
Mbona ukipewa pesa na kupigwa kabang husemi?
 
Hakuna kwenda kataeni hiyo ni dhambi kushirikiana na MAINTAREHAMWE kwaajili ya kuwadanganya Watanganyika ni dhambi ambayo kama mkitenda hampaswi kusamehewa ni sawa na yule anayekufuru ROHO

BACK TANGANYIKA

Propaganda hizo
 
Mkuu Zamlock, Mungu awape nini tena?!, t-shirt ndio hizo!, usafiri ndio huo!, na pesa juu?!, changamkieni dili!, na muda wa ku upadate daftari la wapiga, hakikisheni mnajiandikisha na siku ya kupiga kura 2015, hakikisheni mnalipa fadhila ya hizo t-shirts, kofia na huto tujisenti!.

Kiukweli CCM wanafanya siasa safi!, yaani wanapendwa sana na vijana kwa sababu CCM inawajali kwa mavazi, pilau na pesa!.

CCM Oye!.

Pasco

Hapo mkuu umenena duniani kote kama unataka kutangaza sera zako lazima umgharamie yule anayekusikiliza na hapo ndipo unapenyeza ushawishi wako,siasa si kukodi chopa kwa mabilioni huku ukiwaacha wale wanaokusikiliza wakiteseka kwa usafiri na akiba zao ndogo hongera ccm
 
siyo shida ila siyo kwa style hii waliyoitumia kuja kutueleza twende alafu watatupa poshoo.
Mimi nimerudi home nataka ni msikilize lakini siyo kuniohonga niende ukumbini name kuchomwa na jua kwenye maandamano
Wewe kijana umekosa uzalendo kabisa inaelekea una damu chafu.
 
Hapo mkuu umenena duniani kote kama unataka kutangaza sera zako lazima umgharamie yule anayekusikiliza na hapo ndipo unapenyeza ushawishi wako,siasa si kukodi chopa kwa mabilioni huku ukiwaacha wale wanaokusikiliza wakiteseka kwa usafiri na akiba zao ndogo hongera ccm


Hapo umenena....


Kumbe ndio maana mnafanya hivi!!!!!!!!!!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Back
Top Bottom