Chechetuka
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 549
- 44
Taifa la Tanzania lina maadui wanne
1. umasikini
2. Maradhi
3. Ujinga
4. CCM
Inaonekana mwenzangu una maradhi makubwa zaidi. Umasikini, Maradhi na Ujinga, havina usajili wa makaratasi. CCM imesajiliwa kama vilivyosajiliwa vyama vingine. Maradhi hayo yakikuzidia nenda kwa babu Samunge, anaweza kukusaidia kama una imani ya kutosha. Ukikosa nauli, tutakuchangia kama tulivyofanya kwa wengine.