CCM wajue huwezi kamwe kuuficha UKWELI

CCM wajue huwezi kamwe kuuficha UKWELI

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
32,312
Reaction score
79,991
Confucius alisema,vitu 3 huwezi vificha, JUA, MWEZI NA UKWELI.

Unaweza tembea na uwongo, kuupamba na kuuremba, lkn Ukweli utakuumbua.
Natamani wangejua Hekima za wazee,MFICHA UCHI HAZAI.

Chama chenu kina vijana wasio na uwezo wa kupambana na hoja matokeo yake ndio haya. Nakumbuka kipindi cha utoto mkiwa mnacheza mpira mkimpiga chenga mwenye mpira wake kinachofata anasubiri utoke anaukamata anaondoka nao.

Karne hii ya sasa hauwezi kushindana na technology hata mkizima watu tutarudi JF JamiiForums ni jukwaa pendwa sana litaishi milele na milele

Hongera sana Maxence Melo na vijana wako mnatupambania sana hongereni sana
 
Upo nje ya nchi? Unaioataje JF mi siipati kabisa🎃🎃🎃
Tumia hii VPN kaka
20250907_72749.jpg
 
Confucius alisema,vitu 3 huwezi vificha, JUA,MWEZI NA UKWELI.
Unaweza tembea na uwongo,kuupamba na kuuremba,lkn Ukweli utakuumbua.
Natamani wangejua Hekima za wazee,MFICHA UCHI HAZAI.
Chama chenu kina vijana wasio na uwezo wa kupambana na hoja matokeo yake ndio haya. Nakumbuka kipindi cha utoto mkiwa mnacheza mpira mkimpiga chenga mwenye mpira wake kinachofata anasubiri utoke anaukamata anaondoka nao.
Karne hii ya sasa hauwezi kushindana na technology hata mkizima watu tutarudi JF JamiiForums ni jukwaa pendwa sana litaishi milele na milele

Hongera sana Maxence Melo na vijana wako mnatupambania sana hongereni sana
Wanapambani wajinga kama sisi, hata Lisu anapambania wajinga kama sisi ambao hatuna sapoti yoyote ile kwao. Hata Mello anaweza kamatwa akafungwa au akapotezwa mazima na hakuna kitu tutafanya zaidi ya kuongeza post za kulalamika.
 
Confucius alisema,vitu 3 huwezi vificha, JUA,MWEZI NA UKWELI.
Unaweza tembea na uwongo,kuupamba na kuuremba,lkn Ukweli utakuumbua.
Natamani wangejua Hekima za wazee,MFICHA UCHI HAZAI.
Chama chenu kina vijana wasio na uwezo wa kupambana na hoja matokeo yake ndio haya. Nakumbuka kipindi cha utoto mkiwa mnacheza mpira mkimpiga chenga mwenye mpira wake kinachofata anasubiri utoke anaukamata anaondoka nao.
Karne hii ya sasa hauwezi kushindana na technology hata mkizima watu tutarudi JF JamiiForums ni jukwaa pendwa sana litaishi milele na milele

Hongera sana Maxence Melo na vijana wako mnatupambania sana hongereni sana
Tanzania nchi yangu nakupenda Kwa moyo wote.
Daah Kwa haya yanayoendelea Tanzania moyo unaniuma sana.
Haki ngoja nitafute cha kukipenda tofauti na hiyo nchi khaa
 
Naomba management ya JF (au hata wabobezi wengine wa tech) waingie mzigoni kuunda platform nyingine kali zaidi ambayo mamlaka ya shithole country haitaweza kuizuia au kuifungia. Base yake iwe ughaibuni huko. Mbwai iwe mbwai tu!
Hii tu hawawezi kuizima sabu domain yake sio ya TZ na Server haziko hapa nchini inatumia Reverse Proxy ya Cloudflare USA huko so hawana guts za kuizima...

Wanachokifanya nahisi ni kuwaambia ISPs wa blacklist IP ya JF tu isiwe accessed na mitandao ya Bongo hapa ila mtu ukitumia VPN au Proxy una unblock na ku access..

Technology huwezi kupambana nayo yote uishinde labda ubaki kuchekesha tu watu, Iran, China, na baadhi ya nchi wana hizi censorships na firewalls kali lakini watu wanapata access kwa backdoors kama kawa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom