CCM wajue huwezi kamwe kuuficha UKWELI

CCM wajue huwezi kamwe kuuficha UKWELI

Hii tu hawawezi kuizima sabu domain yake sio ya TZ na Server haziko hapa nchini inatumia Reverse Proxy ya Cloudflare USA huko so hawana guts za kuizima...

Wanachokifanya nahisi ni kuwaambia ISPs wa blacklist IP ya JF tu isiwe accessed na mitandao ya Bongo hapa ila mtu ukitumia VPN au Proxy una unblock na ku access..

Technology huwezi kupambana nayo yote uishinde labda ubaki kuchekesha tu watu, Iran, China, na baadhi ya nchi wana hizi censorships na firewalls kali lakini watu wanapata access kwa backdoors kama kawa..
Maelezo yametulia sana haya. Na iwe hivyo. Jamiiforums foreeever!
 
Serikali inaogopa wakosoaji ambao hawafiki hata laki moja wanatumia I'd fake maajabu ya serikali za Afrika wanaotamba kwamba wamefanya kila kitu leo hii wanaogopa wakosoaji wenye I'd fake napata mashaka sana na mambo wanayosema kwamba wamefanya kila kitu
 
Confucius alisema,vitu 3 huwezi vificha, JUA,MWEZI NA UKWELI.
Unaweza tembea na uwongo,kuupamba na kuuremba,lkn Ukweli utakuumbua.
Natamani wangejua Hekima za wazee,MFICHA UCHI HAZAI.
Chama chenu kina vijana wasio na uwezo wa kupambana na hoja matokeo yake ndio haya. Nakumbuka kipindi cha utoto mkiwa mnacheza mpira mkimpiga chenga mwenye mpira wake kinachofata anasubiri utoke anaukamata anaondoka nao.
Karne hii ya sasa hauwezi kushindana na technology hata mkizima watu tutarudi JF JamiiForums ni jukwaa pendwa sana litaishi milele na milele

Hongera sana Maxence Melo na vijana wako mnatupambania sana hongereni sana
Ng'ombe wa mama wanataman kulia, mipango imekula za pua kama mipango y ibilis na mama mkwe wake
 
Back
Top Bottom