OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
Unaowaona pale Hospitali, mnaowapiga picha wamerundikana, wale wanangoja zamu yao ya kuzaa, hawazai pale waliporundikana, thubutu muwachiwe mkapige picha ndani ya chumba cha kuzalia, labda mzazi mwenyewe akubali na madaktari na iwe ni kwa ajili ya kufundishia, si kwa propaganda zenu za kijinga. Huzalia theater kama anavyozaa mwingine yoyote, labda awe hajawahishwa hospitali.
Haki ya kuzaa na kuzaliwa nnaijuwa vizuri sana kwani nimeshazaliwa na nimesha-zaa, hilo wala silkutie hofu.
Nimeuliza hivi:
Huu mdahalo wa Serena kautayarisha nani na fedha za kukodisha ukumbi wamezitoa wapi? na hicho kikundi kilichotayarisha huo mdahalo wana faida ipi? naomba majibu kwa hilo.
Kama unazalia theater sawa sawa sasa nakuelewa vizuri sana! !!!!!
Hebu tafuta wanawake wanaozalia theater hapa wakuambie!!!!!!
Umewahi kusikia labour ward??????!!!!
Anayesubiri kuzaa ni sawa kulala chini???!!!!
Kuweka kumbukumbu sawa hapa mimi sina haja ya propaganda na sina nasaba na chama chochote hili ulijue! !!!!!
Huwa sijibu rhettorics kamwe hata aulize mzazi wangu!!!!!
Kama unajua aliyeandaa na nia yake ukiambatanisha na sheria aliyovunja itakuwa safi sana!!!!
Otherwise ni kilio nyikani tu