CCM tusiende tena kwenye Midahalo

CCM tusiende tena kwenye Midahalo

aibu yao, aibu ya magamba. UKAWA yatosha! serikali 3 ndio mpango mzima. wataenda wee, watazunguka, watapaka rangi na kurudi, lakini ukweli utabakia palepale--SERIKALI 3 HAZIKWEPEKI!
 
mdahalo sio ngoma za jadi ni hoja...ccm wapi na wapi na hoja?ni sawa na tundu la sindano na ngamia.ndio sababu ya kukimbia pale panapotokea mdahalo..lakini ngonjera na matusi yangeruhusiwa lo makada wao wote wangejitokeza .ccm taarabu bwana.....!!
 
CCM mna akili za kushikiwa na kilaza Nape kila mkija kwenye midahalo mnaivuruga
Katazo la kilaza (mwingine CCM, wapo wengi!) Makamba Sr na liendelee
 
hoja iliyo mezani inahusu uwezo wa maCCM kujenga hoja, lakini naona unatulazisha tujadili hoja ya UKAWA! kwanini usifungue uzi mpya inayohusu UKAWA badala ya kutuharibia mtiririko wa hoja?

CCM haiwezi kujenga hoja, wala usilalamike. CCM ni chama tawala, hakina sababu ya kujenga hoja. Kijenge hoja ili iweje?
 
kumbe ccm huwa na hoja tu pale waandaaji wa mudahalo wanapojulikana walipotokea na kujulikana walikopata fedha za maandalizi ya mdahalo? asante kwa kutufungua macho. na ccm wanapata faida ipi ikiwa haya yote yatajulikana? ndipo huwa na akili za kutoa hoja makini?

Umeshindwa kujibu swali? unaanza ngonjera!
 
kwani mdahalo huu ulikuwa kwa ajili ya kuwafadhili ukawa mi sijakuelewa.

Huo mdahalo ulikiuwa wa nini na nani aloutayarisha, na amefadhiliwa na nani? na kwa faida ya nani?

Kumbuka, kuna watu wanauza nchi yao kwa vijisenti vya per diem na hesabu za uongo. Wanajifanya wao wajanja, hawajui kumbe waliowatumia wanajuwa zaidi yao.
 
Huo mdahalo ulikiuwa wa nini na nani aloutayarisha, na amefadhiliwa na nani? na kwa faida ya nani?

Kumbuka, kuna watu wanauza nchi yao kwa vijisenti vya per diem na hesabu za uongo. Wanajifanya wao wajanja, hawajui kumbe waliowatumia wanajuwa zaidi yao.
FaizaFoxy, what has this got to do with what was being discussed? And if the question of who sponsored the debate matters that much, why was Vuai there! Why did he attend at all? On second thought, did the organiser ever put a luku on Vuai's source of vocal utterance; the masticating and tasting apparatus called mouth ?
 
Huo mdahalo ulikiuwa wa nini na nani aloutayarisha, na amefadhiliwa na nani? na kwa faida ya nani?

Kumbuka, kuna watu wanauza nchi yao kwa vijisenti vya per diem na hesabu za uongo. Wanajifanya wao wajanja, hawajui kumbe waliowatumia wanajuwa zaidi yao.
Ulivyozoea kufadhiliwa unajua wote wamezoea ufadhili jiangalie!
 
FaizaFoxy, what has this got to do with what was being discussed? And if the question of who sponsored the debate matters that much, why was Vuai there! Why did he attend at all? On second thought, did the organiser ever put a luku on Vuai's source of vocal utterance; the masticating and tasting apparatus called mouth ?

If today you are ready to go against the saint Dictator, the engineer of two governments theory (never proven to be right anyway) who is Vuai to you compared to THE saint?
 
FaizaFoxy, what has this got to do with what was being discussed? And if the question of who sponsored the debate matters that much, why was Vuai there! Why did he attend at all? On second thought, did the organiser ever put a luku on Vuai's source of vocal utterance; the masticating and tasting apparatus called mouth ?

Aaaargh this was supposed to be the last noose!!!!
 
Ukiwaona walikuwa Bungeni wenyewe lakini bado wakawa wanarusha matusi juu ya UKAWA basi ujue hao watu ni wepesi.Niamini ikifika kwakati wa kampeni wategemee wizi wa kura na kwa kuwa tume ni yao ili kulazimisha maoni ila kusema ukweli CCM bila vyombo vya dola haipo .
like,like, mkulu ile ya kwenye kitufe naona haitoshi, ukweli huo hata wana ccm wana utambua ndo maana hawataki kubadili mifumo ya kiutawala ambayo inavifanya vyombo vya dola kuwa huru!
 
Mzee Makamba alina mbali pale alipopiga marufuku kwa Wagombea wa CCM kushiriki Midahalo wakati wa Kampeni 2010.
Alijua kabisa kwamba ndani ya CCM hakuna mwenye akili timamu na anayeweza kushawishi kwa hoja. Ndo maana akampiga Marufuku hata Mwenyekiti wake naye akatii...
 
(Acha wehu na mawazo mgando plus mawazo STAAFU,???? kwani Vuai gugo haijui ucnichekeshe ndugu hAta asilimia pia mtu iMEMshinda?????????

Si kweli, tupatupa unasema uongo. Vuai ali vuai ni kati ya waliozungumza vizuri tena kwa kujiamini pamoja na yule Awadh ....wa tume za haki za binadamu zanzibar. Polepole aikuwa anatumia madesa na gugo kuleta "fact" za kujitutumua.[/QUOTE]
 
Hapana za Watanzania ni za kutengenezea ukumbi na kuweka viti vipya vya kubishania!!!!
Happy?????!!!

Bado hujajibu, ni nani hao waliwaandalia mdahalo? wao wana faida ipi na huu mdahalo?
 
Bado hujajibu, ni nani hao waliwaandalia mdahalo? wao wana faida ipi na huu mdahalo?

Hilo sikujibu dada mbona nilishasema hiyo cognitive test kwa umri wangu haina validity!!!!!!
Faida ya wananchi kwanza athari za ufadhili baadae either ways kuna vitengo vya ulinzi na scrutiny "intelijensia" was performed ndio maana ikaruhusiwa kufanyika na kuwa aired hivyo hii swali ni redundant altogether!!!!
 
Back
Top Bottom