CCM tusiende tena kwenye Midahalo

CCM tusiende tena kwenye Midahalo

Mkuu Tupatupa unajua moja ya sifa kuu zinazokutofautisha nawenzio pale Lumumba nikwamba wewe sio mnafiki,muoga.Ukweli unausema jinsi ulivyo,naimani nawenzako wangekuwa hivyo chama kingekuwa na ahueni kupona kuzama.Tatizo la wenzio Siasa iko matumboni wanalinda Ugari kwa sababu hawajui pakwenda baada ya hapo walipo!
 
Back
Top Bottom