Sio kweli dada angu, hebu tuanzie kwenye chopa 3, kata 3. Kalenga na chalinze ndio tuseme hayo,
Kwa elimu tuliyonayo watanzania sishangai CCM kuendelea kushinda hasa huko vijijini! Miaka hamsini ya uhuru na fursa kubwa ya kila mtoto kwenda shule lakini tumevuna nini? Wananchi wengi vijijini ukiwauliza rais wa nchi watakujibu ni Nyerere. Ndio taifa linalijisifia limepiga hatua wakati watu wa nje wanakuja kusaini mikataba ambayo mTz hafaidiki chochote! Mtwara wakadai rasimali yetu tunafaidikaje nayo wakakiona cha mtema kuni..serikali sikivu ya CCM!
VIJANA MPO?
Serikali iunde Tume halafu serikali hiyohiyo iikane tume iliyounda yenyewe je hiyo serikali in watu walioenda shule au? Inakera na inasikitisha sana kwani huko tuendako inaelekea tutatumbikizwa shimoni.