CCM, TRA inawahujumu na itawaangusha

CCM, TRA inawahujumu na itawaangusha

Juzi jamaa yangu alienda kufunga biashara hawa tra waligoma katakata, afisa akaanza kulalamika nitawaambiaje boss wangu kuwa nimekuruhusu ufunge biashara bora ubaki tu nadeni bila kulipa, mawazo ya kijinga tu
 
Machadema yamejaa tele TRA. Ajenda yao sasa ni kuwakomoa wafanyabiashara. Wakishakomoka watakuwa wanailaumu serikali ya ccm. Hivyo itakosa ubora machoni pa wengi

Vyombo vinavyohusika navyo vinaweza kulifanyia kazi hili, ama machadema yamejaa au hawana maarifa, ujuzi na nk.

Magufuli kazi kwako. Kama unawazungusha wale wale wa ujuzi, maarifa, tekniki zile zile unaenda kufeli, and big failure
Siku hizi kenge mnajua kusoma na kuandika
 
Bandari ikileta mizigo mingi hii kodi ndogo ndogo ingesaidia uchumi na pia mzunguko wa pesa ndani. Ni kheri kutumia bandari ya Mombasa us huru unaeleweka
Kuna mtu alicomment vzr sana..... Watu wasome sheria za kodi vzr na marekebisho yake.....kuna namna ya kukata rufaa na watu wengi huwa inatokea wanashinda dhidi ya tra.....tujifunze taratibu sio kulalamika tu....kila kitu kipo kisheria
 
Inaonekana wewe ni mtu wa kijiweni hujui maana ya biashara
Maana ya biashara sio tu kupata faida... Ni pamoja na kufuata Sheria na taratibu za nchi...... mnaambiwa muweke doc kama ni kweli Mnaleta blabla..... Sheria lazima uchukue mdondo wake tu.... Wafanyakazi nchi hii kwanza ndo wanalipa Sana kodi na husikii kelele zao.... Wengine mkiguswa mnapaniki.... Mm nasema asionewe mtu lakn Sheria ifuatwe
 
mlizoea vya kunyonga eeh zama zimebadilika.
Toa hoja yenye kusaidia pande zote basi! Kodi sio vita wala uadui na kama maneno yako yanamaanisha kuwakomoa walipakodi basi tegemeeni anguko kuu la uchumi ambalo hakuna atakayesalimika.
Shawishi elimu na hata kubembelezwa hao walipa kodi wasijekuhamisha mitaji na biashara zao kwani bila wao hakuna kitakachokwenda!
 
sio kwa milioni 16 aisee kwa vitu vya dola 4,600, huo ni wizi sasa,

Mimi nilisha achia zaidi ya magari 4 miaka 2 iliyopita nikachanganyikiwa hadi nikasahau na kuzoea na kuanza A. Unanunua gari $2600 lipo Dar, ushuru $4,600!!!
 
Bandari ikileta mizigo mingi hii kodi ndogo ndogo ingesaidia uchumi na pia mzunguko wa pesa ndani. Ni kheri kutumia bandari ya Mombasa us huru unaeleweka
Ukitumia bandari ya Mombasa kama mizigo ni ya Tz horohoro boarder na namanga maTRA si yapo pia?!!!
 
Toa hoja yenye kusaidia pande zote basi! Kodi sio vita wala uadui na kama maneno yako yanamaanisha kuwakomoa walipakodi basi tegemeeni anguko kuu la uchumi ambalo hakuna atakayesalimika.
Shawishi elimu na hata kubembelezwa hao walipa kodi wasijekuhamisha mitaji na biashara zao kwani bila wao hakuna kitakachokwenda!
Hoja hapa ni kulipa kodi basi hakuna mambo ya kubembelezana kwenye suala hilo.

Lipa kodi kwa maendeleo ya Taifa.
 
Kuna mtu alicomment vzr sana..... Watu wasome sheria za kodi vzr na marekebisho yake.....kuna namna ya kukata rufaa na watu wengi huwa inatokea wanashinda dhidi ya tra.....tujifunze taratibu sio kulalamika tu....kila kitu kipo kisheria
Kwanini at first place wasiweke kodi stahiki kwanini wabambikie?
 
Mtoa post naamini kua kuna ngazi za juu endapo mteja hajaridhika na alichotendewa na ngazi za chini.Umetaja polisi na TRA lkn hujaweka ushahidi wowote. Unasema umeniuzulu lkn hujaonyesha ulikua unafanya kazi gani iliyokusababisha ufanye hivyo na yenye mahusiano na unacholalamikia hapa. Ukisoma ulichoandika ni kitu ulichokifanya kwa mhemuko na msukumo wa kisiasa zaidi kuliko hali halisi na km unabisha weka ushahidi hapa.
 
Kuna vijana walioajiriwa hivi karibuni ambao wengi wao hawakupitia chuo cha kodi ndio wamepewa majukumu ya kukusanya kodi unafikiria uwezo wao ulivyo poor TRA itaanguka tu
 
TRA ya sasa kwa push ya mjomba ni ya kuiogopa zaidi ya nyoka..
 
Machadema yamejaa tele TRA. Ajenda yao sasa ni kuwakomoa wafanyabiashara. Wakishakomoka watakuwa wanailaumu serikali ya ccm. Hivyo itakosa ubora machoni pa wengi

Vyombo vinavyohusika navyo vinaweza kulifanyia kazi hili, ama machadema yamejaa au hawana maarifa, ujuzi na nk.

Magufuli kazi kwako. Kama unawazungusha wale wale wa ujuzi, maarifa, tekniki zile zile unaenda kufeli, and big failure
Ungeshirikisha ubongo, japo kwa asilimia kumi tu!
 
Machadema yamejaa TRA. Unategemea nini?
Mkuu ni kweli kwamba CDM walio wengi wanamhujumi JPM,lakini naamini pia kwamba si wote.Wapo CDM wanaomuunga Rais mkono kwa kazi nzuri anayoifanya.Lakini ni kweli pia kwamba wapo CCM wengi wanaomhujumu Rais!Hawa ni wale waliofaidika sana na mifumo na utendaji mbovu wa awamu zilizopita,hasa awamu ya tatu na nne.Kwa hiyo si kweli kwamba ni wanachama wa CDM tu wanaomhujumu Rais,hata wanachama wa CCM wanamhujumu.Infact si wanachama wa vyama hivyo tu wanaomhujumu,ila ni wale wote waliofaidika kwa njia moja au nyingine na utendaji mbovu wa awamu za tatu na nne.Swali zito ni watatambuliwaje ili waweze kuondolewa kwenye utumishi si TRA tu, ila popote walipo?
 
Lipa kodi ujenge taifa lako acha kulialia na kuingiza mambo yako ya kisiasa
 
Back
Top Bottom